Mkuu, mapunguani, wapumbavu na wajinga wote hapa Tanzania wanapatikana CCM ndo, kwa hiyo usishangae majitu mapumbavu kumsifia muuaji katili .Hakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?
Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.
Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.
Mwisho wa yote muda utaongea.
Pumzika Ben
Pumzika Azory
Hiyo 200k Mkuu bora ukahonge na Kunywa BeerMkuu, mapunguani, wapumbavu na wajinga wote hapa Tanzania wanapatikana CCM ndo, kwa hiyo usishangae majitu mapumbavu kumsifia muuaji katili .
Leo nilimtembelea jamaa yangu niliyesoma naye primary school, ana maisha magumu kupindukia, anaishi nyumba ya tope isiyo hata na sakafu, watoto wake, mke wake na yeye wamechakaa kwa umaskini wa kutupwa .
Nilibeba 200,000 ili kwenda kumsaidia, lakini sikumpatia hiyo pesa nimerudi nayo baada ya kuanza kumsifia Magufuli na kudai kuwa atamchagua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora umerudi na pesa zako, kiazi kweli huyo jamaaMkuu, mapunguani, wapumbavu na wajinga wote hapa Tanzania wanapatikana CCM ndo, kwa hiyo usishangae majitu mapumbavu kumsifia muuaji katili .
Leo nilimtembelea jamaa yangu niliyesoma naye primary school, ana maisha magumu kupindukia, anaishi nyumba ya tope isiyo hata na sakafu, watoto wake, mke wake na yeye wamechakaa kwa umaskini wa kutupwa .
Nilibeba 200,000 ili kwenda kumsaidia, lakini sikumpatia hiyo pesa nimerudi nayo baada ya kuanza kumsifia Magufuli na kudai kuwa atamchagua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wameshauawa na hii Serikali, unasubiri nani akupatie taarifa rasmi Mkuu?Imeshajulikana kama hawa wapendwa wetu wameshatoweka duniani?
Tangu nilipo ona ile mnaita kripu ya "Jamal Kashogi alivyokatwa shingo" nawaza mpaka nyuma ya ubao. Tuwaombee.Hakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?
Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.
Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.
Mwisho wa yote muda utaongea.
Pumzika Ben
Pumzika Azory
Mimi nikiangalia hii pichaHakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?
Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.
Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.
Mwisho wa yote muda utaongea.
Pumzika Ben
Pumzika Azory
Walitaka wammalize kabisaMimi nikiangalia hii picha
View attachment 1343381
...🤔🤔🤔...Leo nilimtembelea jamaa yangu niliyesoma naye primary school, ana maisha magumu kupindukia, anaishi nyumba ya tope isiyo hata na sakafu, watoto wake, mke wake na yeye wamechakaa kwa umaskini wa kutupwa .
Nilibeba 200,000 ili kwenda kumsaidia, lakini sikumpatia hiyo pesa nimerudi nayo baada ya kuanza kumsifia Magufuli na kudai kuwa atamchagua tena
Duuu. Jamaa amesema hivyo?“Ni muuaji wa Watanzania wenzake pasi na shaka yeyote ile” - Mark Pompeo.
Ndugu uneandika kwa uchungu mno,nimejihisi kutokwa na chozi.Hakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?
Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.
Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.
Mwisho wa yote muda utaongea.
Pumzika Ben
Pumzika Azory
Pumzika Ben
Pumzika Azory
AMINA.... Aliyehusika yupo kuzimu anasubiri kujibu mashtaka yake.Mwisho wa yote muda utaongea
Mungu siyo amsterdam wala lisu,AMINA.... Aliyehusika yupo kuzimu anasubiri kujibu mashtaka yake.