Nikimuona mwili unatetemeka

Nikimuona mwili unatetemeka

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Achana na yule aliyeniomba Vocha wakati niko hoi kitandani naumwa .

Niko na huyu bidada moyo wangu ameshaukamata.

Yna4 kwa nini nikufiche mama kila nionapo Coment yako kamoyo kanafanya pa.

Pokea zangu salamu Mr zero IQ nimenasa kwako kama inzi basi wacha nifie kwenye kidonda chako.


Popote mumuonapo Yna4 naomba mumfikishie salamu zangu .
 
achana na yule aliyeniomba Vocha wakati niko hoi kitandani naumwa .

Niko na huyu bidada moyo wangu ameshaukamata ,

Yna4 kwa nini nikufiche mama kila nionapo Coment yako kamoyo kanafanya pa.

Pokea zangu salamu Mr zero IQ nimenasa kwako kama inzi basi wacha nifie kwenye kidonda chako.


Popote mumuonapo Yna4 naomba mumfikishie salamu zangu .
Are you a boy or a man!? How old are you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom