Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Nazitanguliza heshima kwenu JF members!
Wapo watanielewa vzur pia wapo watakua hawanielewi kwa kile ntaeleza...
Ikitokea nimempata mchumba wangu wa dhati na upendo mwema kati yetu me/ke..
Maswali ni haya:
1-Tukipata mtoto tutampa historia tulivyokutana JF?
2-Siku tukigombana/kutafautiana nan ataeanza kumlaumu mwenzie?
3-.....................
4-.....................
Nisaidieni mawazo mwenzenu!
Wapo watanielewa vzur pia wapo watakua hawanielewi kwa kile ntaeleza...
Ikitokea nimempata mchumba wangu wa dhati na upendo mwema kati yetu me/ke..
Maswali ni haya:
1-Tukipata mtoto tutampa historia tulivyokutana JF?
2-Siku tukigombana/kutafautiana nan ataeanza kumlaumu mwenzie?
3-.....................
4-.....................
Nisaidieni mawazo mwenzenu!