Nikaribisheni kwa kunipa kazi

Nikaribisheni kwa kunipa kazi

Hauko serious mkuu yaani kucertify vyeti Sasa Kuna gharama gani?, nenda mahakamani ukalie lie ni buku Tano tu unampa karani. Watu hulipwa 150K take home, nakushauri kama Kuna vitu huwezi kuafford achana navyo, ishi kwenye Hali ya chini kabisa.
 
Pole mdau, hiyo 250k sio ndogo wala sio kubwa, tatzo ni mkoa unaoishi ! Jaribu kujibana bana hasa kwenye matumizi yasiyo na tija,,,,reshuffle budget yako ya chakula, bana uwezavyo, sketi achana nazo kabisa !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom