Heshima yenu wakuu...ni matumaini yangu tunaendelea kujenga taifa letu kwa pamoja huku kwa kiasi kikubwa tukisaidiana maumivu haya ya makali ya maisha yanayosababishwa na wachache waliovimbiwa keki ya taifa wakati wengine bado hatakuonja....
Heshima yenu wakuu...ni matumaini yangu tunaendelea kujenga taifa letu kwa pamoja huku kwa kiasi kikubwa tukisaidiana maumivu haya ya makali ya maisha yanayosababishwa na wachache waliovimbiwa keki ya taifa wakati wengine bado hatakuonja....
Karibu, mbona unaingia na mkwara wa malalamiko!!! Ngoja kwanza ukae sebuleni ndio umwage radhi. All in all, karibu sana tujadiliane mpendwa. (just a joke)
Nawashukuruni sana wakuu...tutakuwa pamoja sana katika kujenga nchi yetu
sijaingia kwa mbwembwe ila hayo niliyosema ni kama wimbo wa taifa kwa sasa
ambao hata watoto wa vidudu wanauimba.......
Nashukuru sana kwa kunikaribisaha
naamini nimepokewa kwa mikono miwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.