Nakumbuka nilikuwa mpenzi sana wa gazeti la Jitambue japo nilikuwa bado sijakomaa vyema, nilipokuwa nasoma wakati ule nilisoma kwa kuvutiwa na habari na simulizi za kusisimua wakati huo huo nilikuwa nahangaika kweli kujitambua na kutafuta nafasi yangu duniani.
Niseme unconsciously Jitambue limehusika sana kunijenga katika mtu niliye sasa....
Asante
Mtambuzi na wengine hapa JF kwa kuendelea kufanya tuzidi kujitambua kupitia mabandiko yenu