Nijuzeni mwenzenu..

Nijuzeni mwenzenu..

KUWEDA

Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
41
Reaction score
6
Mambo vp wana jf? Naleta kwenu shida yangu nikiamini home of the great thinkers itanitatulia...
Sory kama nitakuwa nakiuka maadili ila sina maana mbaya...mwenzenu nina mchumba ambaye nimekuwa nae kwa muda wa takriban miez tisa mpaka sasa.,tangu nimpate miez kama sita na nusu hiv hatukuwahi kukutana kimwili mpaka ulipotimu mwezi wa 7 ndani ya uhusiano...tatizo ni kwamba mchumba huyu alivyokuja kwangu cku hiyo alidai anasiku ya kumi toka amalize mzunguko wake(period)alinisihi sana ni2mie kinga nisimuungilie hivihivi,sikukataa,mambo yalipoanza kama kawaida nilianza kumtafuta ni wapi akiguswa anasahau shida zote,wakati nafanya hivyo nilibahatika kunyonya chuchu zake but chakushangaza zile chuchu niliponyonya zilikuwa zinatoa dizaini ya majimaji yenye ladha ya maziwa nilishangaa kdogo,ila sikusema,muda ulipowadia nikazama ndani kuanza mechi,ubaya uliotokea ile condom ilipasuka na nilipopiga bao moja akakataa tena akiwaamefura hasira akidai kunauwezekano wa kushika mimba, INAENDELEA HAPO CHINI
 
Mambo vp wana jf? Naleta
kwenu shida yangu nikiamini home of the great thinkers itanitatulia...
Sory kama nitakuwa nakiuka maadili ila sina maana mbaya...mwenzenu nina
mchumba ambaye nimekuwa nae kwa muda wa takriban miez tisa mpaka
sasa.,tangu nimpate miez kama sita na nusu hiv hatukuwahi kukutana
kimwili mpaka ulipotimu mwezi wa 7 ndani ya uhusiano...tatizo ni kwamba
mchumba huyu alivyokuja kwangu cku hiyo alidai anasiku ya kumi toka
amalize mzunguko wake(period)alinisihi sana ni2mie kinga nisimuungilie
hivihivi,sikukataa,mambo yalipoanza kama kawaida nilianza kumtafuta ni
wapi akiguswa anasahau shida zote,wakati nafanya hivyo nilibahatika
kunyonya chuchu zake but chakushangaza zile chuchu niliponyonya zilikuwa
zinatoa dizaini ya majimaji yenye ladha ya maziwa nilishangaa kdogo,ila
sikusema,muda ulipowadia nikazama ndani kuanza mechi,ubaya uliotokea
ile condom ilipasuka na nilipopiga bao moja akakataa tena akiwaamefura
hasira akidai kunauwezekano wa kushika mimba, INAENDELEA HAPO
CHINI

unatafuta umaarufu nawe kwa huo uandishi ama?
 
Eti amekuja ananiambia ana mimba ya miezi 8 na yuko na mabegi eti kafukuzwa kwao eti mi nifanyaje wandugu?
Hahahhahah
 
Chini ndio wapi?

BAC NAENDELEA;
Baada ya muda kupita akanitumia taarifa kuwa sikuzake hazioni,hvyo ni mjazito sikumjibu lolote ila nina wasiwasi nae juu ya haya,"Je ni sawa kwa mwanamke kutoa majimaji kwenye chuchu yenye ladha ya maziwa? japo yy alidai ni kawaida yake kutokwa na majimaji hayo akiwa period na eti yale sio maziwa ni majimaji tu...kingine mwanamke anaweza kushika mimba siku ya kumi toka amalize kubleed?"huo ndio wacwac wangu...mkinijuza hayo nitajua pakuanzia tafadhali msinipuuze.
 
Jiandae kumhudumia kiumbe mtarajiwa kama utakuwa na wasiwasi kama wewe ni mhusika usisahau kuomba DNA ifanyike ili kuhakikisha ni damu yako.
 
Eti amekuja ananiambia ana mimba ya miezi 8 na yuko na mabegi eti kafukuzwa kwao eti mi nifanyaje wandugu?
Hahahhahah

Ndugu yangu sioni kama kuna haja ya wewe kuchangia kama hutaki...huo utani unamahala pakena sio hapa.
 
Jiandae kumhudumia kiumbe mtarajiwa kama utakuwa na wasiwasi kama wewe ni mhusika usisahau kuomba DNA ifanyike ili kuhakikisha ni damu yako.

Nashukuru ndug yang.
 
ndege mjanja hunasa kwenye sufuria,hapo huna jinsi ww mhudumie halafu mtoto akidhaliwa DNA ifuate mkondo,ila mwambie kabisa ajue una wasiwasi.
 
Siku ya 10 BAADA ya period ndio mahali pake. Nimekamua chuchu zangu sasa hivi, zimetoa maji maji meupe (ningekuwa na camera ningepiga picha nikuattachie) and l am not pregnant.
 
Wanakutosa anakubambikia huyo we shauri yako
 
ndege mjanja hunasa kwenye sufuria,hapo huna jinsi ww mhudumie halafu mtoto akidhaliwa DNA ifuate mkondo,ila mwambie kabisa ajue una wasiwasi.

Nisha mwambia kama sina uhakika na taarifa yake.
 
BAC NAENDELEA;
Baada ya muda kupita akanitumia taarifa kuwa sikuzake hazioni,hvyo ni mjazito sikumjibu lolote ila nina wasiwasi nae juu ya haya,"Je ni sawa kwa mwanamke kutoa majimaji kwenye chuchu yenye ladha ya maziwa? japo yy alidai ni kawaida yake kutokwa na majimaji hayo akiwa period na eti yale sio maziwa ni majimaji tu...kingine mwanamke anaweza kushika mimba siku ya kumi toka amalize kubleed?"huo ndio wacwac wangu...mkinijuza hayo nitajua pakuanzia tafadhali msinipuuze.

kwa uzoefu wangu huyo msichana atakuwa ametoa mimba hivi karibuni, na hiyo ishu ya kudai ana mimba kibongo bongo hakuna mwanamke anayeweza akajua ana mimba katika siku kumi...ZINDUKA WEWE KAMA UMELALA..
 
kwa uzoefu wangu huyo msichana atakuwa ametoa mimba hivi karibuni, na hiyo ishu ya kudai ana mimba kibongo bongo hakuna mwanamke anayeweza akajua ana mimba katika siku kumi...ZINDUKA WEWE KAMA UMELALA..

Halafu wewe nimekumis ujue!!
 
Back
Top Bottom