athumani mfaume jr
Member
- Aug 27, 2017
- 34
- 52
Kwa waliosoma Sua naulizia kuhusu kozi ya Agribusiness Mara nyingi wanachukua division ngapi na maisha kwa ujumla ya SUA?
Acha kutisha weweDivision inategemeana na ufauru kwa mwaka husika. Kuhusu maisha ya SUA ni very complicated.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unategemea na mwaka husika coz kaka angu kasoma hiyo course pale af alupata three ya kumi na tatu nwaka 2006,naisha ya mtaan nadhan ni kawaida japo my bro hajawai pata kazi serikalin lkn kuna mashirika kafanya nayo kazi Sana Kama techno save, pia hata rafik zak weng wapo private ila eamesoma hiyo course ila kwa ujumla naona ni course nzuri ila usiogop kwenda mashamban Ken mirad kazi mana naona bro anashinda huko Sana wenyeew wanaita mashamba darasa pia serikal ikiwa serious Ken kilimo basi nyie hamtakosa kazi kabisa, hata mshahar anaotajag Bro ni mzuri kidogo Ken hizo private NGOs ko Kama inawezekan kasome aiseee!!!Me niko SUA nachukua iyo course, naingia mwaka wa tatu sasa. Maisha ya SUA ni ya kawaida tu, kuhusu vigezo inategemea na ufaulu wa mwaka husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hgl mkuu? Nipe ufafanuzi kidogo?koz nzur,, kuanzia cbg,pcb,pcm,egm,hge,eka,cbe,hgl, wote wanasoma
15,000/= kwa mwez hiyo sua ya wapMaisha ya sua ni mchicha tuu pale chumba tuu kupanga 15 kwa mwezi....kifupi maisha yapale ni rahisi sana na div one unaenda
Sent using Jamii Forums mobile app