namba moja tuu Senior Member May 4, 2017 162 142 Sep 18, 2017 #1 Habari za muda huu wana jamvi, Naomba kujuzwa dondoo za chuo tajwa hapo juu kwa anaekijua
Ghulaam JF-Expert Member May 10, 2016 1,847 1,441 Sep 19, 2017 #2 Umechaguliwa kozi gani Kiko hospital ya Rufaa bombo Wana dental wana maabara nursing kati ya hizi mbili moja sina uhakika Na hiyo kozi ya AMO
Umechaguliwa kozi gani Kiko hospital ya Rufaa bombo Wana dental wana maabara nursing kati ya hizi mbili moja sina uhakika Na hiyo kozi ya AMO
namba moja tuu Senior Member May 4, 2017 162 142 Sep 26, 2017 Thread starter #3 ivi kwenye ili jukwaa niliechaguliwa AMO TANGA nipo peke angu au mnanitenga hamnitendei haki wanajukwaa hili
ivi kwenye ili jukwaa niliechaguliwa AMO TANGA nipo peke angu au mnanitenga hamnitendei haki wanajukwaa hili
namba moja tuu Senior Member May 4, 2017 162 142 Sep 26, 2017 Thread starter #4 Ghulaam said: Umechaguliwa kozi gani Kiko hospital ya Rufaa bombo Wana dental wana maabara nursing kati ya hizi mbili moja sina uhakika Na hiyo kozi ya AMO Click to expand... nimechaguliwa medical laboratory science
Ghulaam said: Umechaguliwa kozi gani Kiko hospital ya Rufaa bombo Wana dental wana maabara nursing kati ya hizi mbili moja sina uhakika Na hiyo kozi ya AMO Click to expand... nimechaguliwa medical laboratory science