Ukiwà na uzoefu wa kutosha pamojà na referee mzuri unaweza kulipwa hadi 700Knataka kujua Dereva anaye anza analipwa kiasi gani?
Habari ndugu,
Anayefahamu kima cha chini cha mshahara EWURA atujuze, pia kama kuna fringe benefits tofauti na mshahara. Mf. Dereva analipwaje pale EWURA?