monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
Ndugu wanajamiiforums wenzangu naomba mnijuze majukumu ya HUMAN RESOURCE MANAGEMENT.
Nasubiri majibu yenu.
Ahsanteni.
Nasubiri majibu yenu.
Ahsanteni.
Kuajiri na kufukuza waajiriwa!!Ngudu wanajamiiforums wenzangu naomba mnijuze majukumu ya HUMAN RESOURSE MANAGEMENT.
Nasubiri majibu yenu.
Ahsanteni.
Kwa sababu hizi tu mkuu ndo nisisome au kuna nyingine tofauti na hiziKuajiri na kufukuza waajiriwa!!
Kama unataka anza kusoma achana na hii kozi...
Nimekushauri kutokana na nnayoyaona mtaani!! ila kama unaipenda nenda kasome!!Kwa sababu hizi tu mkuu ndo nisisome au kuna nyingine tofauti na hizi
Tafazali nijuze
Google utajua kwa mapanaKama kuna mwingine mwenye maelezo ya kina anisaidie
Wewe kuwa muelewa usiaome hii courseNdugu wanajamiiforums wenzangu naomba mnijuze majukumu ya HUMAN RESOURCE MANAGEMENT.
Nasubiri majibu yenu.
Ahsanteni.
Kozi hii unakuwa Afisa Utumishi na AFISA utumishi ni kuangalia maslahi ya wafanyakazi, pamoja na nidhamu za wafanyakzi..... Yaani unakuwa unadeal na watu..... Iko poa sana....Ndugu wanajamiiforums wenzangu naomba mnijuze majukumu ya HUMAN RESOURCE MANAGEMENT.
Nasubiri majibu yenu.
Ahsanteni.
Coz ipo hio unasemeaWamejaa huku mtaani mpaka wanauza vigenge cha nyanya
Coz ipo hio unasemeaWamejaa huku mtaani mpaka wanauza vigenge cha nyanya
Ipo Fresh, ila hakikisha ukimaliza tu,Jamani mtu aelezee course ya bcom in accounting in life...ipo freshy?
Hata mimi natamani kujuaKwa sababu hizi tu mkuu ndo nisisome au kuna nyingine tofauti na hizi
Tafazali nijuze
Kwanini jamani?Ningelikuwa ndio wewe. Ningeenda kujifunza kuziba pancha za matairi ya pikipiki, bajaji na magari. Kamwe huwezi kulala njaa.