Nimesoma hio sura ya kwanza ya Ruth , kwa jinsi huyo mama alivyo pitia kadhia ile sijui kwa nini mleta mada ameamua kutumia hii kama kichwa cha mada yake.
Ukitazama kwa jicho lingine unaweza kuona ndani ya mleta mada kuna hali isiyo rahisi.
Imenifikirisha sana.