Niiteni Mara (uchungu)

Unahitaji damu ya Yesu ikuponye, mtumainie Kristo naye hatokuacha atasimama nawe.🙏🏿
 
Jirani ninapoishi kuna mtoto binti miaka 6 ana vishiria vyote vya usonji.

Nilivyosoma uzi wako nimewaza huenda na yeye akapitia kama uliyopitia sababu ya uelewa mdogo wa jamii juu ya usonji.
 
Pole ndugu , kuna aina fulan ya maisha ya maisha yako jinsi ulivyo eleza haina tofauti na mimi.
Angalizo na ushauri wako hapo mwishoni lizingatiwe mno .
 
Niite Mara, kwa sababu Mwenywezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
Huo ni mtari wa biblia Ruth 1:20
Nimesoma hio sura ya kwanza ya Ruth , kwa jinsi huyo mama alivyo pitia kadhia ile sijui kwa nini mleta mada ameamua kutumia hii kama kichwa cha mada yake.

Ukitazama kwa jicho lingine unaweza kuona ndani ya mleta mada kuna hali isiyo rahisi.
Imenifikirisha sana.
 
Pole......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…