NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 600
1. Wizara ya elimu inahangaika kukagua vyeti vya std7 badala yakuboresha elimu yetu duni.
2. Wizara ya afya inapambana na dk. Mwaka badala yakushugulikia afya ya mtanzania.
3. Utalii na maliasili wanapambana na magunia ya mkaa badala yakuboresha Utalii na kupambana na majangili.
4. Kilimo wanapambana na lumbesa za viazi badala yakukuza Kilimo chenye tija.
5. Viwanda na biashara wanahangaika na mitaro ya maji taka viwandani badala yakubuni namna yakufika nchi ya kiuchumi wa Viwanda.
6. Sheria na katiba wanatumia muda wao woote kupambana na lissu badala yakutuletea katiba mpya na kuboresha mfumo wetu wakisheria.
7. Mambo ya nje wapo bize kufuta safari za nje.
8. Mfalme yupo bize kupambana na UKUTA. Hatuoni dalili yakuleta mapinduzi ya viwanda kama tulivyoaminishwa kwenye kampeni hadi leo ahadi zinaongezeka wakati za mwanzo utekelezaji 0%.
9. PM yy na makontena tuu.
10. Habari michezo na utamaduni yy anapambana na vyombo vya habari tu badala yakuboresha michezo tuwafikie japo majirani zetu Kenya.
11. Maji na umwagiliaji wao wakobize kuchoma nyavu za wavuvi badala yakutuvusha kwenda miradi mikubwa ya umwagiliaji.
12.. ....
13.....
Ongezeni zingine.
2. Wizara ya afya inapambana na dk. Mwaka badala yakushugulikia afya ya mtanzania.
3. Utalii na maliasili wanapambana na magunia ya mkaa badala yakuboresha Utalii na kupambana na majangili.
4. Kilimo wanapambana na lumbesa za viazi badala yakukuza Kilimo chenye tija.
5. Viwanda na biashara wanahangaika na mitaro ya maji taka viwandani badala yakubuni namna yakufika nchi ya kiuchumi wa Viwanda.
6. Sheria na katiba wanatumia muda wao woote kupambana na lissu badala yakutuletea katiba mpya na kuboresha mfumo wetu wakisheria.
7. Mambo ya nje wapo bize kufuta safari za nje.
8. Mfalme yupo bize kupambana na UKUTA. Hatuoni dalili yakuleta mapinduzi ya viwanda kama tulivyoaminishwa kwenye kampeni hadi leo ahadi zinaongezeka wakati za mwanzo utekelezaji 0%.
9. PM yy na makontena tuu.
10. Habari michezo na utamaduni yy anapambana na vyombo vya habari tu badala yakuboresha michezo tuwafikie japo majirani zetu Kenya.
11. Maji na umwagiliaji wao wakobize kuchoma nyavu za wavuvi badala yakutuvusha kwenda miradi mikubwa ya umwagiliaji.
12.. ....
13.....
Ongezeni zingine.
