mkuuu nilikuwa nashangaa niko peke yangu naangalia hii game.nikatafuta thread humu nimekosa.mpira mzuri sana nigeria wanapoteza nafasi sana walitakiwa waongeze kwani wanacheza vizuri.
sawa sawa mkuu imesaidia sana hii mechi wakati huuu wa international break manake watoto wanapiga kandanda safi sana.Hata mie pia nihesabu maana naangalia laivu nyumbani kwangu.
Mpira mzuri kweli.
sawa sawa mkuu imesaidia sana hii mechi wakati huuu wa international break manake watoto wanapiga kandanda safi sana.
mkuuu nilikuwa nashangaa niko peke yangu naangalia hii game.nikatafuta thread humu nimekosa.mpira mzuri sana nigeria wanapoteza nafasi sana walitakiwa waongeze kwani wanacheza vizuri.
nigeria wakifanya mchezo watafungwa.Dah swiss wamekosa goli
mdomo wangu naona mbaya.sema mda hupo labda wanigeria sasa wataanza kutumia nafasi zao.nigeria wakifanya mchezo watafungwa.
Hivi vitoto vikikutana na Kenya, Tanzania au Uganda ni mvua ya magoli hahahahaha
kama ulikuwa unaosma ninachoandika nilitaka kupost hivyo hivyo.wameshajaribu kuanguka sana na wameona refa hana mda na upuuzi huo kwani wasiwe ngangari? au ndio ugali vs mazoezi lol ?Tatizo jingine la ni kujiangusha angusha kwa nigeria wakiingia kwenye kumi na nane,