crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Wanajeshi 17 wa niger wauwawa kwenye shambulio mpakani na chad kutoka kwa makundi yenye silaha.
Makundi mbalimbali yenye silaha kama isil hufanya shughuli zake maeneo hayo.
Kwa mujibu wa Serikali ya kijeshi ya nchi hiyo wanajeshi wengine 20 wamejeruhiwa na kupelekwa katika hospitali ya mji mkuu niamey kwa matibabu zaidi.
source: al jazeera
Makundi mbalimbali yenye silaha kama isil hufanya shughuli zake maeneo hayo.
Kwa mujibu wa Serikali ya kijeshi ya nchi hiyo wanajeshi wengine 20 wamejeruhiwa na kupelekwa katika hospitali ya mji mkuu niamey kwa matibabu zaidi.
source: al jazeera