Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Milioni 12, halafu upate faida ya milioni 2 kwa mwezi!! Ukifanikiwa kupata hiyo biashara unishirikishe na mimi niifanye aisee!!

Hiyo faida siyo ya mchezo hata kidogo!!
Kwenye biashara ya dhahabu hiyo 12m kama eneo lina madini mengi unapata faida 3m na kuzidi kila wiki
 
Tafutia site toa huduma za fedha, uwe wakala wa uhakika pengine faida hautofika 2m ila risks zake ni ndogo
 
Kaka km una kwako au kwenu eneo kubwa tuu, anza kufuga kuku wa layers kuku wale wa mayai, niamini utapiga zaidi ya hiyo milion 2 kwa mwezi ila yakupasa tu uvumilie ndan ya miez mitano hutovuna kitu ila baada ya hapo adi miaka 3 ijayo ww unavuna mamilioni.

1. Toa 2,500,000 nunua vifaranga 1000
2.Toa mil 2 uje ufungiwe cage ya kuingiza kuku 1000
3.Gharama za chanjo za siku 28 kwa vifaranga.
4.Vyakula vya kuku kuanzia starter Mash na kuendelea. Mfuko wa kilo 50 @49000 ila hapa wakishafikisha wiki tatu unaweza kuwachanganyia pumba+layers premix+layers mash
5. Vyombo vya chakula na maji.
6. Chumba maalum cha joto kwa vifaranga kwa miez 2

Yani inshort utatumia milion 7 tu mpaka kuku wanafika miezi 5 kuanza kutaga, na wakianza kutaga it means una uhakika wa kukusanya mayai 1000 kila siku iendayo kwa Mungu na hapo kuna kuku wengine wakishiba vizur wanaweza kukuangushia mayai 2 kwa siku.

Sasa chukua unakusanya mayai 1000 tu kwa siku, haya mayai 1000 ni sawa na trey 33 na mayai 10.

Trey kwa sasa ni sh 8000
Kwahiyo kwa siku 33x8000=264,000

Kwa mwezi sasa 264,000x30=7,920,000.

NB: Kwahiyo ukiwatunza vizur vifaranga kwenye chanjo, chakula braza wewe ni milionea unapiga zako Milion 7,920,000/= kwa mwezi kama faida haina tax hyo wala VAT. Na ukumbuke kuwa hawa kuku watakuwa wana uwezo wa kukutagia ndani ya miaka 3 wakichoka unawatoa unawauza nako unapiga hela kuku 1 sokoni 8000. 8000x1000= 8000,000/= baada ya miaka 3 utavuna Mil 8 km pesa yakuwauza nyama hapo umekosa nn kaka!!.


Yan ungejua mm nina shida ya milion 2 tu nitanue nitoke hapa kwny kuku 55 ambapo kwa mwez wanaingiza 440K tu.
 
Mkuu acha nikwambie kitu kimoja uwasaidie na wengine watakaokuja kukuomba ushauri siku 1 huko mbeleni.

Fahamu biashara ni mchezo wa bahati na sibu,huku hamnaga constant profit hata siku 1 kwahiyo usidanganywe wala usipumbazwe na watu watakao kwambia biashara flani ina uhakika wa kiasi flani per day..per month,nk.

Hata kama biashara inaweza kukupa faida ya 2m per month fahamu sio miezi yote utalamba 2m,kwa biashara hyo hyo utapata siku hyo 2m yako, kuna mwezi utapat 3m,kuna miezi itafululiza hata mi 3 Utapata 50k per month, usishangae Huo ndio ukweli.

kwa hiyo kama ushajua ipo miezi utakayosugua benchi na biashara ni ile ile,mtaji ni ule ule, Anzia kuwaza kuanzia hapo sasa... unapowaza biashara ya kufanya usiishie kwenye mafaida ya kila mwezi,mafaida ya kila siku yatakufanya UPOTEZE uje ulie ukose wakukupa pole

ukishajua kuna miezi itaongozana hupati 2m na mtaji umewekeza 12m ninachokushauri ni uachane na biashara 1 kubwaaa na ufungue biashara nyingi ndogo ndogo.

Natamani tu ufahamu 2m ni sawa na uhakika wa faida 70k per day,sasa kama n hvyo kuna biashara nyingi sana za kukupa 50k to 70k za mitaji isiyozidi 2m.

Kwa hiyo ukiwa na 12m unaweza fungua biashara zaidi ya 4 zitakazokupa only 30k, just 30k x 4 = 120k per day ukizdsha 120k x 30 = 3,600,000

Nimekwambia biashara haina constant profit so ktk hiyo 3.6 kwa sababu hiyo ni total ya biashara 4 wewe utakua na uhakika wa kutoyumba hata kama biashara 1 haitokupa 30k zingine zitakupa,biashara hii ikigoma ile kule inakupa.. miezi ya shetani ikifika wenzako wakiwa wanalalamika biashara mbaya.

wewe kwako itakua ni tofauti,biashara yako itakua mbaya kwa namna ya faida kupungua ila si kukosa faida kwahyo kama ulikua ukipata 3.6m sasa hv utakua unapata 2m (ile target yakooooo) or utacheza 2.5,2,2,nk nk,nk

kwanini utakua na uhakika?!

Kwasababu hujawekeza kwenye biashara 1,umewekeza kwenye biashara nyingi ndogo ndogo ambapo uhakika wa faida ni mkubwa kuliko hasara, LAKINI ukitia 12m YOTE kwenye biashara yyte utakayoshauriwa au utakayoiafiki ina pesa,fahamu kwamba zipo siku zitakuja utakua na majuto makubwa kuliko mwanaume aliegundua anagongewa mke wake.

My POINT...

Split that capital into pieces... fungua biashara tofauti bado hauna kitu mkuu,12m is nothing anytime inapeperuka hiyo inabaki story ulishkaga 12m, usiwaze mavitu makubwa makubwa bado wewe n mjasiriamali mduchu sana sana sana,jishushe anzia huku down Halafu utaona namna utavyotusua.

ukiwa na malengo nina uhakika ndani ya mwaka 1 ukiweza fanya kama ninavyotamani ufanye kwa mtaji HUO ukifunga mwaka wa miezi 12,wasipokuita freemason watasema ulienda kuloga.

ila ukienda kama ninavyohisi unataka kwenda,mimi sikuombei mabaya ila nataka ufahamu utakua na safari ndefu sana kufikia ndoto zako.. Fupisha hiyo safari pita shortcut ili uzifikie ndoto zako angali kijana na una nguvu,angali ulimi wako una feel taste ya fanta orange...
 
Kaka km una kwako au kwenu eneo kubwa tuu, anza kufuga kuku wa layers kuku wale wa mayai, niamini utapiga zaidi ya hiyo milion 2 kwa mwezi ila yakupasa tu uvumilie ndan ya miez mitano hutovuna kitu ila baada ya hapo adi miaka 3 ijayo ww unavuna mamilioni.

1. Toa 2,500,000 nunua vifaranga 1000
2.Toa mil 2 uje ufungiwe cage ya kuingiza kuku 1000
3.Gharama za chanjo za siku 28 kwa vifaranga.
4.Vyakula vya kuku kuanzia starter Mash na kuendelea. Mfuko wa kilo 50 @49000 ila hapa wakishafikisha wiki tatu unaweza kuwachanganyia pumba+layers premix+layers mash
5. Vyombo vya chakula na maji.
6. Chumba maalum cha joto kwa vifaranga kwa miez 2

Yani inshort utatumia milion 7 tu mpaka kuku wanafika miezi 5 kuanza kutaga, na wakianza kutaga it means una uhakika wa kukusanya mayai 1000 kila siku iendayo kwa Mungu na hapo kuna kuku wengine wakishiba vizur wanaweza kukuangushia mayai 2 kwa siku.

Sasa chukua unakusanya mayai 1000 tu kwa siku, haya mayai 1000 ni sawa na trey 33 na mayai 10.

Trey kwa sasa ni sh 8000
Kwahiyo kwa siku 33x8000=264,000

Kwa mwezi sasa 264,000x30=7,920,000.

NB: Kwahiyo ukiwatunza vizur vifaranga kwenye chanjo, chakula braza wewe ni milionea unapiga zako Milion 7,920,000/= kwa mwezi kama faida haina tax hyo wala VAT. Na ukumbuke kuwa hawa kuku watakuwa wana uwezo wa kukutagia ndani ya miaka 3 wakichoka unawatoa unawauza nako unapiga hela kuku 1 sokoni 8000. 8000x1000= 8000,000/= baada ya miaka 3 utavuna Mil 8 km pesa yakuwauza nyama hapo umekosa nn kaka!!.


Yan ungejua mm nina shida ya milion 2 tu nitanue nitoke hapa kwny kuku 55 ambapo kwa mwez wanaingiza 440K tu.
Mkuu unafuga kuku wa aina gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Still hiyo 2 mil faida ni ndogo lakin pa kuanzia ni sawa. Biashara kwa kiwango Cha chin inatakiwa kukupa 30% faida ya mtaji wako. So standard inatakiwa kuwa 3,600,000. 30%
Milioni 12, halafu upate faida ya milioni 2 kwa mwezi!! Ukifanikiwa kupata hiyo biashara unishirikishe na mimi niifanye aisee!!

Hiyo faida siyo ya mchezo hata kidogo!!
 
Msumbiji kusingekuwepo magaidi haswa hili Jimbo la kabdligado, ningekupa Raman nzuri Sana ya kupeleka vitenge vya Tanzania na vingine vinalipa Sana.

Hapa bongo wananunua shs 15,000 au chin yake. Lakin wakifikisha msumbiji Kuna maeneo nayajua Sana kule wanauza 1500 had 1800 miticash hela za kule. Kumbuka msumbiji miticash 1000 ni sawa na shs 50,000 had 55,000.

So kwako wee mgen kupitia njia ya malaw utapata shida. Nikitulia nitakupa Raman zingine
 
Ku
Mkuu acha nikwambie kitu kimoja uwasaidie na wengine watakaokuja kukuomba ushauri siku 1 huko mbeleni.

Fahamu biashara ni mchezo wa bahati na sibu,huku hamnaga constant profit hata siku 1 kwahiyo usidanganywe wala usipumbazwe na watu watakao kwambia biashara flani ina uhakika wa kiasi flani per day..per month,nk.

Hata kama biashara inaweza kukupa faida ya 2m per month fahamu sio miezi yote utalamba 2m,kwa biashara hyo hyo utapata siku hyo 2m yako, kuna mwezi utapat 3m,kuna miezi itafululiza hata mi 3 Utapata 50k per month, usishangae Huo ndio ukweli.

kwa hiyo kama ushajua ipo miezi utakayosugua benchi na biashara ni ile ile,mtaji ni ule ule, Anzia kuwaza kuanzia hapo sasa... unapowaza biashara ya kufanya usiishie kwenye mafaida ya kila mwezi,mafaida ya kila siku yatakufanya UPOTEZE uje ulie ukose wakukupa pole

ukishajua kuna miezi itaongozana hupati 2m na mtaji umewekeza 12m ninachokushauri ni uachane na biashara 1 kubwaaa na ufungue biashara nyingi ndogo ndogo.

Natamani tu ufahamu 2m ni sawa na uhakika wa faida 70k per day,sasa kama n hvyo kuna biashara nyingi sana za kukupa 50k to 70k za mitaji isiyozidi 2m.

Kwa hiyo ukiwa na 12m unaweza fungua biashara zaidi ya 4 zitakazokupa only 30k, just 30k x 4 = 120k per day ukizdsha 120k x 30 = 3,600,000

Nimekwambia biashara haina constant profit so ktk hiyo 3.6 kwa sababu hiyo ni total ya biashara 4 wewe utakua na uhakika wa kutoyumba hata kama biashara 1 haitokupa 30k zingine zitakupa,biashara hii ikigoma ile kule inakupa.. miezi ya shetani ikifika wenzako wakiwa wanalalamika biashara mbaya.

wewe kwako itakua ni tofauti,biashara yako itakua mbaya kwa namna ya faida kupungua ila si kukosa faida kwahyo kama ulikua ukipata 3.6m sasa hv utakua unapata 2m (ile target yakooooo) or utacheza 2.5,2,2,nk nk,nk

kwanini utakua na uhakika?!

Kwasababu hujawekeza kwenye biashara 1,umewekeza kwenye biashara nyingi ndogo ndogo ambapo uhakika wa faida ni mkubwa kuliko hasara, LAKINI ukitia 12m YOTE kwenye biashara yyte utakayoshauriwa au utakayoiafiki ina pesa,fahamu kwamba zipo siku zitakuja utakua na majuto makubwa kuliko mwanaume aliegundua anagongewa mke wake.

My POINT...

Split that capital into pieces... fungua biashara tofauti bado hauna kitu mkuu,12m is nothing anytime inapeperuka hiyo inabaki story ulishkaga 12m, usiwaze mavitu makubwa makubwa bado wewe n mjasiriamali mduchu sana sana sana,jishushe anzia huku down Halafu utaona namna utavyotusua.

ukiwa na malengo nina uhakika ndani ya mwaka 1 ukiweza fanya kama ninavyotamani ufanye kwa mtaji HUO ukifunga mwaka wa miezi 12,wasipokuita freemason watasema ulienda kuloga.

ila ukienda kama ninavyohisi unataka kwenda,mimi sikuombei mabaya ila nataka ufahamu utakua na safari ndefu sana kufikia ndoto zako.. Fupisha hiyo safari pita shortcut ili uzifikie ndoto zako angali kijana na una nguvu,angali ulimi wako una feel taste ya fanta orange...
Kuna watu wanajua kuandika aisee
Kiongozi congrts👏👏👏
Nimepata mill dollar advc apa🤝🤝🤝
 
Kaka km una kwako au kwenu eneo kubwa tuu, anza kufuga kuku wa layers kuku wale wa mayai, niamini utapiga zaidi ya hiyo milion 2 kwa mwezi ila yakupasa tu uvumilie ndan ya miez mitano hutovuna kitu ila baada ya hapo adi miaka 3 ijayo ww unavuna mamilioni.

1. Toa 2,500,000 nunua vifaranga 1000
2.Toa mil 2 uje ufungiwe cage ya kuingiza kuku 1000
3.Gharama za chanjo za siku 28 kwa vifaranga.
4.Vyakula vya kuku kuanzia starter Mash na kuendelea. Mfuko wa kilo 50 @49000 ila hapa wakishafikisha wiki tatu unaweza kuwachanganyia pumba+layers premix+layers mash
5. Vyombo vya chakula na maji.
6. Chumba maalum cha joto kwa vifaranga kwa miez 2

Yani inshort utatumia milion 7 tu mpaka kuku wanafika miezi 5 kuanza kutaga, na wakianza kutaga it means una uhakika wa kukusanya mayai 1000 kila siku iendayo kwa Mungu na hapo kuna kuku wengine wakishiba vizur wanaweza kukuangushia mayai 2 kwa siku.

Sasa chukua unakusanya mayai 1000 tu kwa siku, haya mayai 1000 ni sawa na trey 33 na mayai 10.

Trey kwa sasa ni sh 8000
Kwahiyo kwa siku 33x8000=264,000

Kwa mwezi sasa 264,000x30=7,920,000.

NB: Kwahiyo ukiwatunza vizur vifaranga kwenye chanjo, chakula braza wewe ni milionea unapiga zako Milion 7,920,000/= kwa mwezi kama faida haina tax hyo wala VAT. Na ukumbuke kuwa hawa kuku watakuwa wana uwezo wa kukutagia ndani ya miaka 3 wakichoka unawatoa unawauza nako unapiga hela kuku 1 sokoni 8000. 8000x1000= 8000,000/= baada ya miaka 3 utavuna Mil 8 km pesa yakuwauza nyama hapo umekosa nn kaka!!.


Yan ungejua mm nina shida ya milion 2 tu nitanue nitoke hapa kwny kuku 55 ambapo kwa mwez wanaingiza 440K tu.
Hizo cages za kuku 1000 Kwa milioni 2 zinapatkana wapi na Mimi nazitaka. Maana nnavyojua cages za layers za kuku 96 ni 650,000. Kwahiyo Kwa kuku 1000 awe na cages 11 ambayo ni kama milioni Saba huko.
 
Boss, supervision naweza but Kukaa golini mwenyewe siwezi, nipo tight kidogo
Kwa hiyo mkuu unataka kufunguwa biashara mpya ambayo wewe utakuwa ni msimamizi tu?

Yani uwekeze 12mil umuajiri mtu afanye kwakuwa upo tight ?
Ukishapata hio wazo la biashara "uzoefu" utatoka wapi kwako au mwa utakaye mwajiri?

Nafikria mkuu fikiria zaidi "uwekezaje" wa muda mrefu wenye risks ndogo na faida kiasi!

2mil kama faida binafsi naona ni faida kidogo kwa mtaji huo labda kwa kuanzia...
Sielewi wanaosema ni 2mil haiwezekani ni kwanini???
 
Mimi mtaji wangu 5M na napata 2M kwa mwezi, kila wiki naingiza 500K
Mkuu ukisema biashara unayoifanya nitakuwa nimekutoa kwenye list ya watu wenye roho za kimasikini.. wano amnini wenhine wakifanikiwa wao watafeli.., karibu share nasi!!
 
Kaka km una kwako au kwenu eneo kubwa tuu, anza kufuga kuku wa layers kuku wale wa mayai, niamini utapiga zaidi ya hiyo milion 2 kwa mwezi ila yakupasa tu uvumilie ndan ya miez mitano hutovuna kitu ila baada ya hapo adi miaka 3 ijayo ww unavuna mamilioni.

1. Toa 2,500,000 nunua vifaranga 1000
2.Toa mil 2 uje ufungiwe cage ya kuingiza kuku 1000
3.Gharama za chanjo za siku 28 kwa vifaranga.
4.Vyakula vya kuku kuanzia starter Mash na kuendelea. Mfuko wa kilo 50 @49000 ila hapa wakishafikisha wiki tatu unaweza kuwachanganyia pumba+layers premix+layers mash
5. Vyombo vya chakula na maji.
6. Chumba maalum cha joto kwa vifaranga kwa miez 2

Yani inshort utatumia milion 7 tu mpaka kuku wanafika miezi 5 kuanza kutaga, na wakianza kutaga it means una uhakika wa kukusanya mayai 1000 kila siku iendayo kwa Mungu na hapo kuna kuku wengine wakishiba vizur wanaweza kukuangushia mayai 2 kwa siku.

Sasa chukua unakusanya mayai 1000 tu kwa siku, haya mayai 1000 ni sawa na trey 33 na mayai 10.

Trey kwa sasa ni sh 8000
Kwahiyo kwa siku 33x8000=264,000

Kwa mwezi sasa 264,000x30=7,920,000.

NB: Kwahiyo ukiwatunza vizur vifaranga kwenye chanjo, chakula braza wewe ni milionea unapiga zako Milion 7,920,000/= kwa mwezi kama faida haina tax hyo wala VAT. Na ukumbuke kuwa hawa kuku watakuwa wana uwezo wa kukutagia ndani ya miaka 3 wakichoka unawatoa unawauza nako unapiga hela kuku 1 sokoni 8000. 8000x1000= 8000,000/= baada ya miaka 3 utavuna Mil 8 km pesa yakuwauza nyama hapo umekosa nn kaka!!.


Yan ungejua mm nina shida ya milion 2 tu nitanue nitoke hapa kwny kuku 55 ambapo kwa mwez wanaingiza 440K tu.
Hao vifaranga 1000 wote watakua mitetea?
 
Msumbiji kusingekuwepo magaidi haswa hili Jimbo la kabdligado, ningekupa Raman nzuri Sana ya kupeleka vitenge vya Tanzania na vingine vinalipa Sana.

Hapa bongo wananunua shs 15,000 au chin yake. Lakin wakifikisha msumbiji Kuna maeneo nayajua Sana kule wanauza 1500 had 1800 miticash hela za kule. Kumbuka msumbiji miticash 1000 ni sawa na shs 50,000 had 55,000.

So kwako wee mgen kupitia njia ya malaw utapata shida. Nikitulia nitakupa Raman zingine
Ww ulikuja ama kuish huku zaman sana 1000 ni sawa na 30000 to 32000 ya bongo kwa sasa
 
Ww ulikuja ama kuish huku zaman sana 1000 ni sawa na 30000 to 32000 ya bongo kwa sasa
Ni rate inayopanda na kushuka mkuu. Leo inaweza kuwa hv kesho ikawa hv. Ni Kama Dola, si kuja wala kuishi zaman, pale Beila nimenunua nyumba kabisa na soko la benfica- maputo Nina ofc zangu mkuu had sasa.

Na jinsi ya kuifahidi currency ya msumbiji ukiipata hutakiwi kuichengi kwenye shillingi, ukiipata unanunua dola. Ukinunua dola ndo utachange kuja shs. But all in all uko sahihi tu
 
Njoo kilombero,, Morogoro ufanye utafiti mdogo alafu uangalie biashara gani inakufaa maana uko kuna fursa nyingi Sana,,

But najua adi unapat m12 ushapanga la kufanya all in all njoo kilombero kuna fursa
Kilombero alime mpunga au kununua kitomoto?Anyways sijajua Kilobero fursa ziko wapi?Mimi nimipita sana huko..Wengi wamekuwa matapeli sana
 
Back
Top Bottom