Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Brother James

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
233
172
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara katika mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Doh.. hebu kwanza nisubirie maoni ya wadau, maana na mimi nna interest ya kuijua hio biashara. Risk to reward ratio yake itakuwa tamu sana🛫
 
Njoo kilombero,, Morogoro ufanye utafiti mdogo alafu uangalie biashara gani inakufaa maana uko kuna fursa nyingi Sana,,

But najua adi unapat m12 ushapanga la kufanya all in all njoo kilombero kuna fursa
Mkuu, mpaka muda huu sina biashara yoyote wala project yoyote ndo maana nimekuja hapa kuomba ushauri. Project gani hapo itafaa mkuu ili kila mwezi angalau nipate 2 mil kama faida.
 
Nakushauri omba mawazo ya biashara lakini usianze kupanga hadi kiasi cha faida cha mil 2 kwa mwezi kama faida ghafi. Utakwama kabla hujaanza

Hakuna biashara ya hivyo labda ukajumue cocaine
Kambaku, wapo wanaoingiza zaidi ya hiyo, bado tu hujaziona fursa, kila project ina expectations zake. Tuwasubiri wadau watupe mawazo. Usisahau pia kuwa mtaji wa mil. 12 sio kidogo
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Kanisa
 
Back
Top Bottom