Ocean road
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 631
- 304
- Thread starter
- #21
HatushindwiiOhhooo......
Tayari umesha unguza picha....
Hatushindwii
Sawa katawaze urudPambana na hali yake wewe kiazi ...
Acha wivu wa kike nataka nifahamHivi huyu mende mpk sasa hivi hajala ban kwa nini ????? Thread gani hii upuuzi mtupu aaaaaaagggggrrrrrrrr
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vijana wanazeeka vibaya wallahiNimekuwa naona watu wanapigana ban yaaan Ile banned kwenye dp
Sasa mimi Kuna manyang'au yananizinga mara matus mara yananionea wivu sa nataka niwe nayalamba ban nimechoka kupigwa dis kwenye uzi Kwan kupenda ni kosa km wanadamu ya kunguni wapambane na hali zao Kuna maandaz nataka niyalime ban ya mwaka
Wa kishua
We muhenga,Kuna vijana wanazeeka vibaya wallahi
Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
Utatuliwa rinda we jipendekeze tu...Sawa katawaze urud
Wa kishua