..nifa jina la kaziMwanzo sikujua kama muislam.
Baada ya kuachiwa akasoma
Surat-Tin yaani sura ya 95
"Alaisallahu bi ahkamil hakimin" (أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ)
Mafundisho wa aya hii
1. Allah ndiye Mwamuzi wa haki zaidi
Hakuna mwanadamu au kiongozi duniani anayeweza kulinganisha uadilifu na hekima ya Allah. Mafisiri wanasema hili linatufundisha kutegemea hukumu na maamuzi ya Allah zaidi ya yale ya binadamu.
2. Hekima ya Allah haipimiki
Aya hii inatufundisha kwamba hekima ya Allah ni kamili na kamwe haiwezi kukosekana au kupungukiwa. Hii inatufundisha hofu na heshima kwake katika maisha yetu ya kila siku.
3. Kutegemea hukumu ya Allah
Inatufundisha kutojiamini kwa kiwango kikubwa katika hukumu za binadamu pekee. Tunapokuwa katika hali ya shaka, tunapaswa kutegemea Hukumu ya Allah kama kielelezo cha haki.
4. Kumbusho la maadili ya uadilifu
Kwa kuwa Allah ndiye Hakimu zaidi, Aya hii inatufundisha kuiga baadhi ya sifa hizi: kuwa waadilifu, kutatua migogoro kwa usawa, na kuzingatia hekima katika maamuzi yetu.
5. Imani na tawakkul
Mafundisho haya pia yanatufundisha kuweka imani na mtazamo wa tawakkul (kutegemea Allah) katika kila hali, kwani Yeye ndiye anayejua yote na kuamua kwa haki kamili.
Yani we Dogo na bibi yako faiza 24/7 mnawaza dini kusikia huyu ni Muslim ndio huruma inakuingia moyoni hahahahahaMwanzo sikujua kama muislam.
Baada ya kuachiwa akasoma
Surat-Tin yaani sura ya 95
"Alaisallahu bi ahkamil hakimin" (أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ)
Mafundisho wa aya hii
1. Allah ndiye Mwamuzi wa haki zaidi
Hakuna mwanadamu au kiongozi duniani anayeweza kulinganisha uadilifu na hekima ya Allah. Mafisiri wanasema hili linatufundisha kutegemea hukumu na maamuzi ya Allah zaidi ya yale ya binadamu.
2. Hekima ya Allah haipimiki
Aya hii inatufundisha kwamba hekima ya Allah ni kamili na kamwe haiwezi kukosekana au kupungukiwa. Hii inatufundisha hofu na heshima kwake katika maisha yetu ya kila siku.
3. Kutegemea hukumu ya Allah
Inatufundisha kutojiamini kwa kiwango kikubwa katika hukumu za binadamu pekee. Tunapokuwa katika hali ya shaka, tunapaswa kutegemea Hukumu ya Allah kama kielelezo cha haki.
4. Kumbusho la maadili ya uadilifu
Kwa kuwa Allah ndiye Hakimu zaidi, Aya hii inatufundisha kuiga baadhi ya sifa hizi: kuwa waadilifu, kutatua migogoro kwa usawa, na kuzingatia hekima katika maamuzi yetu.
5. Imani na tawakkul
Mafundisho haya pia yanatufundisha kuweka imani na mtazamo wa tawakkul (kutegemea Allah) katika kila hali, kwani Yeye ndiye anayejua yote na kuamua kwa haki kamili.
Hii serikali ya huyu mama la hovyo minyonyo haina muda na dini ya mtu.Ndiyo mjue wenyewe wala hawaangalii dini yako wakati wewe kapuku unakaza fuvu ukijua unatetea muislamu.
Wamtetee hata huyu hapa…Hii serikali ya huyu mama la hovyo minyonyo haina muda na dini ya mtu.
Wao wanachoangalia ni kubaki madarakani tu.
Ally kibao ni muislamu walimteka na kumuua.
Kwao dini wameanza kuitumia kama njia tu ya kupambana na gen z.
Halafu linakuja pumbavu moja limevaa mshati wake wa CCM linaongelea udini nyoko nyoko.
Alijifanya chizi Baada ya kufundishwa adabu kupitia njia ngumu kaanza kutembea na tasbih kama mufti wa Lebanon
Muislam dini mbele mengine baadaeDini yake ina uhusiano gani na hekaheka alizopitia? Watanzania kwa nini tumeanza tabia ya kuangalia karibu kila kitu kupitia lenzi ya udini? Tunaelekea wapi?
Hata nabii Yusuf alipewa.mtihaniAlijifanya chizi Baada ya kufundishwa adabu kupitia njia ngumu kaanza kutembea na tasbih kama mufti wa Lebanon