bulldoza
Senior Member
- Sep 28, 2011
- 133
- 42
Kaka niko chini ya miguu yako muelekze atawapata wapi (kimkoa au personaly) maana atakosa ujasiri siku c nyingi huyu mwenzetu.Lakini jamani mbona wanawake wengine wanafagilia sana hii kitu? msimkatishe tamaa bana wako wanawake wanapenda sana za hivo.