Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 451
Fact mkuu wanguLakin ukiangalia kwa jicho la kipembuzi sana n kama vile ulikuwa hataki saaana aweke maendeleo kwao.
Kumbuka kwao ndo kuna wazaz waliomsomesha na kila kitu hd akapata na hyo kaz so cha msingi we mwache tu kwanza afanye mambo anayofanya ya kuwasaidia hao ndugu zake huenda mali zote za kwao alizimaliza yeye kipindi anasoma.
Unapoona anatoa hela kusaidia ndugu zake usiwe unaumia roho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tu kutoshirikishwa kuliko kupitisha bajet kama bunge alafu pesa zinaishia kwingine.Naombeni ushauri
Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo?
Iko hivi:-
Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye yafuatayo.
Sikujua kama alikuwa ananishirikisha kwa kunitega au la maana alikuwa anataka robo tatu ya kipato chake awekeze kwao. Sasa akawa akiniomba ushauri namwambia nusu aweke kwao nusu inayobaki tufanye yetu kwa ajili ya familia yetu.
Kumbe nilikuwa nakosea yeye alitaka nimshauri awape zote nyumbani. Alikua kila tukikaa mipango ya maendeleo anapanga ya kwao mi nikawa namshauri asisahau na sisi ndani maana alikua hafanyi chochote kwa ajili yetu.
Mashemeji zangu wanamsumbua sana kumuomba hela, akawa ananishirikisha namwambia angalia shida yenye umuhimu umsaidie mtu, ukiona mtu anakuomba sana hela kama hana kazi mpe mtaji au mtafutie kazi.
Kumbe nilikuwa nategwa tu bila kujua. Siku hizi mwenzangu hanishirikishi kabisa mambo yake Mshahara ukitoka sijui umetumikaje na
likitokea tatizo kwao wala haniambii kama mwanzo.
Moyo unaniuma nashindwa nitairudishaje ile hali ya zamani. Nifanyeje ajue sikuwa na nia mbaya?
Naumia sana ndugu zangu mke na mume ndani hatushirikishani, hatukai tukapanga kama mwanzo kila mmoja anafanya kulingana na kipato chake na maendeleo hakuna.
Nimejaribu kuongea nae na kumuelewesha lakini kama hataki kuelewa hivi. Nisaidien nifanyeje?
Naombeni ushauri
Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo?
Iko hivi:-
Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye yafuatayo.
Sikujua kama alikuwa ananishirikisha kwa kunitega au la maana alikuwa anataka robo tatu ya kipato chake awekeze kwao. Sasa akawa akiniomba ushauri namwambia nusu aweke kwao nusu inayobaki tufanye yetu kwa ajili ya familia yetu.
Kumbe nilikuwa nakosea yeye alitaka nimshauri awape zote nyumbani. Alikua kila tukikaa mipango ya maendeleo anapanga ya kwao mi nikawa namshauri asisahau na sisi ndani maana alikua hafanyi chochote kwa ajili yetu.
Mashemeji zangu wanamsumbua sana kumuomba hela, akawa ananishirikisha namwambia angalia shida yenye umuhimu umsaidie mtu, ukiona mtu anakuomba sana hela kama hana kazi mpe mtaji au mtafutie kazi.
Kumbe nilikuwa nategwa tu bila kujua. Siku hizi mwenzangu hanishirikishi kabisa mambo yake Mshahara ukitoka sijui umetumikaje na
likitokea tatizo kwao wala haniambii kama mwanzo.
Moyo unaniuma nashindwa nitairudishaje ile hali ya zamani. Nifanyeje ajue sikuwa na nia mbaya?
Naumia sana ndugu zangu mke na mume ndani hatushirikishani, hatukai tukapanga kama mwanzo kila mmoja anafanya kulingana na kipato chake na maendeleo hakuna.
Nimejaribu kuongea nae na kumuelewesha lakini kama hataki kuelewa hivi. Nisaidien nifanyeje?
kwani wewe ni mfanyakazi? sasa mtaishije kama ndivyo hivyo upande wangu naona hakuna sababu sema kaa nae tu umwambie jinsi
ambavyo hufurahishwi na hiyo hali ili mjue cha kufanya nae ataoe kinyongo chake
Huyo sio mume wako. Angekua mume wako, kwao ni kwenu. Kwenu sio kwenu tena.Naombeni ushauri
Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo?
Iko hivi:-
Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye yafuatayo.
Sikujua kama alikuwa ananishirikisha kwa kunitega au la maana alikuwa anataka robo tatu ya kipato chake awekeze kwao. Sasa akawa akiniomba ushauri namwambia nusu aweke kwao nusu inayobaki tufanye yetu kwa ajili ya familia yetu.
Kumbe nilikuwa nakosea yeye alitaka nimshauri awape zote nyumbani. Alikua kila tukikaa mipango ya maendeleo anapanga ya kwao mi nikawa namshauri asisahau na sisi ndani maana alikua hafanyi chochote kwa ajili yetu.
Mashemeji zangu wanamsumbua sana kumuomba hela, akawa ananishirikisha namwambia angalia shida yenye umuhimu umsaidie mtu, ukiona mtu anakuomba sana hela kama hana kazi mpe mtaji au mtafutie kazi.
Kumbe nilikuwa nategwa tu bila kujua. Siku hizi mwenzangu hanishirikishi kabisa mambo yake Mshahara ukitoka sijui umetumikaje na
likitokea tatizo kwao wala haniambii kama mwanzo.
Moyo unaniuma nashindwa nitairudishaje ile hali ya zamani. Nifanyeje ajue sikuwa na nia mbaya?
Naumia sana ndugu zangu mke na mume ndani hatushirikishani, hatukai tukapanga kama mwanzo kila mmoja anafanya kulingana na kipato chake na maendeleo hakuna.
Nimejaribu kuongea nae na kumuelewesha lakini kama hataki kuelewa hivi. Nisaidien nifanyeje?
Naombeni ushauri
Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo?
Iko hivi:-
Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye yafuatayo.
Sikujua kama alikuwa ananishirikisha kwa kunitega au la maana alikuwa anataka robo tatu ya kipato chake awekeze kwao. Sasa akawa akiniomba ushauri namwambia nusu aweke kwao nusu inayobaki tufanye yetu kwa ajili ya familia yetu.
Kumbe nilikuwa nakosea yeye alitaka nimshauri awape zote nyumbani. Alikua kila tukikaa mipango ya maendeleo anapanga ya kwao mi nikawa namshauri asisahau na sisi ndani maana alikua hafanyi chochote kwa ajili yetu.
Mashemeji zangu wanamsumbua sana kumuomba hela, akawa ananishirikisha namwambia angalia shida yenye umuhimu umsaidie mtu, ukiona mtu anakuomba sana hela kama hana kazi mpe mtaji au mtafutie kazi.
Kumbe nilikuwa nategwa tu bila kujua. Siku hizi mwenzangu hanishirikishi kabisa mambo yake Mshahara ukitoka sijui umetumikaje na
likitokea tatizo kwao wala haniambii kama mwanzo.
Moyo unaniuma nashindwa nitairudishaje ile hali ya zamani. Nifanyeje ajue sikuwa na nia mbaya?
Naumia sana ndugu zangu mke na mume ndani hatushirikishani, hatukai tukapanga kama mwanzo kila mmoja anafanya kulingana na kipato chake na maendeleo hakuna.
Nimejaribu kuongea nae na kumuelewesha lakini kama hataki kuelewa hivi. Nisaidien nifanyeje?
MKUU,Aahaaaaaaa wewe katoto unaeishi kwa shemeji seblen umeoa lini??
Kuna kitu hujajikieleza hapaNaombeni ushauri
Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo?
Iko hivi:-
Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye yafuatayo.
Sikujua kama alikuwa ananishirikisha kwa kunitega au la maana alikuwa anataka robo tatu ya kipato chake awekeze kwao. Sasa akawa akiniomba ushauri namwambia nusu aweke kwao nusu inayobaki tufanye yetu kwa ajili ya familia yetu.
Kumbe nilikuwa nakosea yeye alitaka nimshauri awape zote nyumbani. Alikua kila tukikaa mipango ya maendeleo anapanga ya kwao mi nikawa namshauri asisahau na sisi ndani maana alikua hafanyi chochote kwa ajili yetu.
Mashemeji zangu wanamsumbua sana kumuomba hela, akawa ananishirikisha namwambia angalia shida yenye umuhimu umsaidie mtu, ukiona mtu anakuomba sana hela kama hana kazi mpe mtaji au mtafutie kazi.
Kumbe nilikuwa nategwa tu bila kujua. Siku hizi mwenzangu hanishirikishi kabisa mambo yake Mshahara ukitoka sijui umetumikaje na
likitokea tatizo kwao wala haniambii kama mwanzo.
Moyo unaniuma nashindwa nitairudishaje ile hali ya zamani. Nifanyeje ajue sikuwa na nia mbaya?
Naumia sana ndugu zangu mke na mume ndani hatushirikishani, hatukai tukapanga kama mwanzo kila mmoja anafanya kulingana na kipato chake na maendeleo hakuna.
Nimejaribu kuongea nae na kumuelewesha lakini kama hataki kuelewa hivi. Nisaidien nifanyeje?
Cc ExtrovertKwa tulioa tunajua ambacho huwa kinatokea.
Wanawake huwa wanawishi muwe na maisha ya kizungu(nuclear family).
Sasa hayo maisha wanataka yawe upande wa mwanaume tu. Kwao inakuwa extended family.!!
Yaani ndugu zake wasaidiwe kadiri ya watakavyo ila ndugu wa mwanaume Ni kuwakaushia tu.!! Wameshindwa kulibalance Hilo.
Mimi mambo ya kwetu huwa simshirikishi.
Natunza familia na mambo ya kwetu nayafanya bila kumuambia
Maendeleo yangu binafsi nayafanya.
Kwa hiyo habari za ndugu yangu kuomba visivyokuwa vya maana huwa namalizana nao mwenyewe.!!
Na ili ufanikiwe Hilo mwanaume hutakiwi kumwambia mwanamke Kila kitu unachokipata.
Lazima uwe na mpango wa kando kwa dharula zako.!!
Haya wanayoyafanya mama zetu na dada zetu wameyafanya kwa ndugu wa waume zao.
Mwanaume weka sawa kichwa chako.
Tafuta hela
Tunza familia yako
Usiwasahau ndugu zako(mkeo Ni rafiki tu).
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin ukiangalia kwa jicho la kipembuzi sana n kama vile ulikuwa hataki saaana aweke maendeleo kwao.
Kumbuka kwao ndo kuna wazaz waliomsomesha na kila kitu hd akapata na hyo kaz so cha msingi we mwache tu kwanza afanye mambo anayofanya ya kuwasaidia hao ndugu zake huenda mali zote za kwao alizimaliza yeye kipindi anasoma.
Unapoona anatoa hela kusaidia ndugu zake usiwe unaumia roho.
Sent using Jamii Forums mobile app