bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Jamani ninaye mpenz wangu, nampenda sana na naamin na yy ananipenda pia. Najitahd kumpenda na kuwa mkeli na muwazi tena pasipokumsaliti ingawa mm na yeye tunaishi mbali kwa zaidi ya kilometa 1600. Nampenda sana. Je ni kitu gan naweza fanya ili abaki kuwa wangu wa maisha?
Kufunga ndoa baada ya kumshirikisha Muumba wenu, then muamue kuishi pamoja; kazi waweza pata nyingine lkn mpenzi si rahisi!
Jitahidi ili muweze kuondoa umbali uliopo kati yenu...Long distance relationship huwa inaleta majaribu mengi sana katika mapenzi na hatimaye uhusiano kuvunjika.
Ushauri wako ni mzur, lakn distance kwa sasa bado haijawezekana kuiondoa. Mm namuomba Mungu na ananijalia kwan ninayo spirit ya uaminifu. Namuombea na mpenz wangu awe hvo.
Moyo wako ni shahidi na Mungu anakuona...Hongera
Asante, najitahd kuhakikisha mawasiliano yanakuwa mazuri.kwasasa boresheni mawasiliano!!
nawasalimu tu hapa
Asante kwa salamu zako. Lakini naomba mchango wako.nawasalimu tu hapa
muoe ndio atakua wako wa milele kama mtaamua kua waaminifu baina yenuJamani ninaye mpenz wangu, nampenda sana na naamin na yy ananipenda pia. Najitahd kumpenda na kuwa mkweli na muwazi tena pasipokumsaliti ingawa mm na yeye tunaishi mbali kwa zaidi ya kilometa 1600. Nampenda sana. Je ni kitu gan naweza fanya ili abaki kuwa wangu wa maisha?
Jitahidi ili kwa namna moja au nyingine muweze kuiondoa especially kama wote mngependa kufanya hivyo...Kila la heri.
muoe ndio atakua wako wa milele kama mtaamua kua waaminifu baina yenu