buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Hey! wana-JF
Mimi ni kijana mwadilifu ktk maswala ya kibiashara, ni mwanachuo ninaesomea maswala ya utawala wa biashara ktk moja ya chuo kikuu hap Tz.Jamani ninishauku sana,ujuzi na taaluma yangu vinisaidie ktk kujikwamua kiuchumi na niifaidishe jamii pia ila tatizo ni mtaji. Sina Fixed assets, wala Securities zozote ila nina knowledge na experience kubwa ktk Business operation,Marketing and Entrepreneurship. Naomba ushauri nitokeje! maana kukosa assets kunanifanya nishindwe kwenda ktk Banks au ktk NGOs kutafuta mikopo nafuu. Tayari nina Business Proporsal kadhaa nimeshaanda ila implementation ina fail coz of Capital
Mimi ni kijana mwadilifu ktk maswala ya kibiashara, ni mwanachuo ninaesomea maswala ya utawala wa biashara ktk moja ya chuo kikuu hap Tz.Jamani ninishauku sana,ujuzi na taaluma yangu vinisaidie ktk kujikwamua kiuchumi na niifaidishe jamii pia ila tatizo ni mtaji. Sina Fixed assets, wala Securities zozote ila nina knowledge na experience kubwa ktk Business operation,Marketing and Entrepreneurship. Naomba ushauri nitokeje! maana kukosa assets kunanifanya nishindwe kwenda ktk Banks au ktk NGOs kutafuta mikopo nafuu. Tayari nina Business Proporsal kadhaa nimeshaanda ila implementation ina fail coz of Capital