Nifanyeje halidhiki kimapenzi

Nifanyeje halidhiki kimapenzi

buchi

Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
22
Reaction score
1
Hata nikijitahidi haliziki, style nzuri ni ipi katika mambo yetu yale ya kikubwa? msaada jamani mm ni dume.
 
umejitahidi kwa kiasi gani? asije kuwa J.M. Huyo (jini mahaba)
 
Unaweza kuwa ni dume-dushe lakini kazi ni zero!

Kumridhisha si kuingiza hilo bomba lako tuu...palilia njia kwanza kabla ya kumfikisha,usipende short-cuts,shauri yako utakuwa unapotea kila siku,hutafika na hutamfikisha mwenzio.
 
kama unakibamia hata ujipinde vipi ..hautamkuna huyo mtoto

ni kama uwe na uwasho afu kucha hhuna ..hehehehehe tafuta mwenye kucha akukunie tu:eyebrows:
 
Hata nikijitahidi haliziki, style nzuri ni ipi katika mambo yetu yale ya kikubwa? msaada jamani mm ni dume.

Hujafafanua unaenda doro baada ya muda gani isije ukawa 5mnts ushashuka utachapiwa hasa kama mwenzio ana mzuka na stamina
 
Hata nikijitahidi haliziki, style nzuri ni ipi katika mambo yetu yale ya kikubwa? msaada jamani mm ni dume.

Punguza kinyaaa...! Halafu usikunje uso kama unaumwa...!
 
Labda anapenda watu wampitie mlango wa uani na ww unapenda pita mlango wa barazani.
 
mmmmmmmmmm umenikumbusha nyimbo ile ya Marehemu Omar Kopa,inasema ivi."Sema unapenda nini mwenyewe mwenyewe nielezee kama mapenzi ya ndani dozi nikuongeze,sasa basi mulize nini anataka afanyiwe au nini anafuraya
unaweza kua una mshindilia mchi mwenzio wala sio aloyazowea anataka umpuzie pole pole huku una muimbia popo eeeh popo aleewa lewa..... huku macho yako juuuuuuuuuuuuuu...
 
mwandae vizuri na ikibidi hakikisha anakojoa marambili kabla hujala mzigo. mpapase vya kutosha, fanya uchunguzi ujue G-spot yake ipo wapi, kisha dili na hiyo g-spot mkuu ukifanikiwa hilo huyo atakuona wewe ni mfalume wake. kibamia sio tatizo, tatizo ni kujua mwenza wako anataka nini.
 
Back
Top Bottom