huyu kaburu ni jarani yangu,ana wireless yenye speed kali sana,yaani download ni 12mbps,sasa nimeweza ku hack na kupata pasword yake,
kila siku tunakula internet ya bure,sasa issue hapa nikienda kwenye router yake naiona computer yangu
nifanyeje ili computer yangu isionekane kwenye router yake the same time nipo connected?
Mkuu usitake tukufundishe jinsi ya kuiba kumbuka ukifundishwa wewe watajifunza na wengine kuiba kupitia uzi huu, kwann uwe tegemezi? kama yeye amepata kwa nini wewe usipate vyakwako pia, kipi alichokuzidi,pambana mkuu utoke kivyako usipende vya mteremko utakuja kuuu,,,,,,shauri yako.
wapo wazee wa madude wakina e2themiza, Zuia Sayayi na chief-mkwawa watakuja kukusaidia. so kuwa mpole. mia
Mkuu kwenye ulimwengu wa IT hakunaga wizi kuna mautundu tuu...Mkuu usitake tukufundishe jinsi ya kuiba kumbuka ukifundishwa wewe watajifunza na wengine kuiba kupitia uzi huu, kwann uwe tegemezi? kama yeye amepata kwa nini wewe usipate vyakwako pia, kipi alichokuzidi,pambana mkuu utoke kivyako usipende vya mteremko utakuja kuuu,,,,,,shauri yako.
huyu kaburu ni jarani yangu,ana wireless yenye speed kali sana,yaani download ni 12mbps,sasa nimeweza ku hack na kupata pasword yake,
kila siku tunakula internet ya bure,sasa issue hapa nikienda kwenye router yake naiona computer yangu
nifanyeje ili computer yangu isionekane kwenye router yake the same time nipo connected?
huyu kaburu ni jarani yangu,ana wireless yenye speed kali sana,yaani download ni 12mbps,sasa nimeweza ku hack na kupata pasword yake,
kila siku tunakula internet ya bure,sasa issue hapa nikienda kwenye router yake naiona computer yangu
nifanyeje ili computer yangu isionekane kwenye router yake the same time nipo connected?
Usiishie hapo. Hebu jaribu kushughulisha ubongo wako. Wote waliokamatwa wakiiba fedha kwa njia ya mitandao wanaonewa?.... okey, got it,,, You might be infant in IT infantry. Well..... ain't your fault, sucks tho.Mkuu kwenye ulimwengu wa IT hakunaga wizi kuna mautundu tuu...
jambo la kwanza katika kuiba ni kujificha usijulikane, wewe umekuta tu mzungu hajaweka password, sikutegemea mtu mwenye uwezo wa kuiba wireless ashindwe kujilinda kuonekana
Teh seems ur not IT geek...Usiishie hapo. Hebu jaribu kushughulisha ubongo wako. Wote waliokamatwa wakiiba fedha kwa njia ya mitandao wanaonewa?.... okey, got it,,, You might be infant in IT infantry. Well..... ain't your fault, sucks tho.