Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
unamuwaza kwa sababu bado hujapata mbadala. atakapotokea utamsahau wa kwanza. asipotokea utaendelea kumuwaza kwa muda mrefu zaidi ila ataanza kufifia na kupotea. ila usipopata mwingine hatopotea kabisa. atakuwa anarudi mara moja moja huko mbeleni. ila time is a better healer kwa situation uliyomo. na kama huitaji kurudiana nae, give time its time; time itakusaidia.