ndusyepo
Senior Member
- Jul 2, 2013
- 167
- 50
Kumpiga siwezi....kukimbia nyumba siwezi....kumwacha siwezi maana nampenda zaidi ya nafsi yangu...nabaki kuumia tu kiti changu ofisini ndokimegeuka kitanda changu....maana usiku silali nikilala cha moto nakiona ety nipige nae story usiku wa manane kweli?....nikichelewa kurudi hata dk.10 basi kanuna ....mala anataka kuku mara mayai ya bata ukimletea hataki kula aaaah ......haaah wanawake mtatuua na hizo mimba jamani@ nilikuwa nasimuliwa tu ss najionea kwangu so tired mimba gani hiyo inantesa hv....najuta kukupa mimba@