solomonlaizer
New Member
- Apr 2, 2011
- 2
- 0
Ndugu zangu,mimi ni mwanafuzi chuo cha mifugo,diploma in animal production.!Ninalikizo ya miezi mitatu nyumbani.!Nisaidie kama mdogo wenu nifanye nini mda wote huu wa likizo.?Nimetafuta tempo mpaka nimechoka.?Nisaidieni ndugu zanguni...!