Nimemaliza chuo tangu 2019, nimekuwa niki apply kazi kupitia ajira leo, na sehemu mbali mbali zinazotangazwa, ila hadi sasa ivi sijabahatika kuajiriwa.
Sasa sijui ni hii course niliyosomea, au ni nini? Nimesomea International Relations, natamani hata nifanye biashara ili niweze kujikwamua shida mtaji nao ni swala gumu,maana familia yangu hatuna uwezo kivile, na nilisomeshwa ili niwasaidie wazazi, ila ndio niko nyumban.
Mwaka huu mwenye kunisaidia hata kwa mawazo tuu ili nipate ajira nitashukuru sana
Sasa sijui ni hii course niliyosomea, au ni nini? Nimesomea International Relations, natamani hata nifanye biashara ili niweze kujikwamua shida mtaji nao ni swala gumu,maana familia yangu hatuna uwezo kivile, na nilisomeshwa ili niwasaidie wazazi, ila ndio niko nyumban.
Mwaka huu mwenye kunisaidia hata kwa mawazo tuu ili nipate ajira nitashukuru sana
