mmmh, akuroge mna bifu?
Kwani hana watoto, trust me hurogeki kama hujihusishi na uchawi.
yaani mungu anisamehe kwa kweli sijaoa ila nilishamuambia hata mama yangu nikipata familia yangu mimi na wife tu hata mama yangu kuja aje na kuondoka na kama tupo mbali nae sisi ndio tutakuja kukusalimia , nina uzoefu na haya mambo aisee yanacost cost sana na yanavuruga amani hapana aisee. kwanza pole sana kwa hilo naomba umpe makavu aisee please bora lawama kuliko hasara. maisha yamepanda sana kumtunza mtu mzima ni gharama sana sio kama zamani vyakula vilikuwa vya bei chee siku hizi hadi mchicha unanunua zamani unachuma hapo nyuma ya choo tu mnajilia leo unauzwa no haiwezekani.
mwambie unaenda kijijini so muende wote mkifika kule ndo ivo tena atabaki tu naturally