Nifanye nini na huyu mzee jamani?

mwambie unaenda kijijini so muende wote mkifika kule ndo ivo tena atabaki tu naturally
 
mpangie ratiba yakuongoza ibada ya jioni leo( night glory)... asome biblia....aimbe mapambio...na kusali iliku prove kuwa ni mchawi au la. then rudi hapa utupe majibu
option nyingine; piga maombi ya nguvu hapo kwako using Jesus name, au alika mtumishi wa Bwana apige maombi ya nguvu...
jipe moyo then mwambie direct pasibo ona aibu yeyote
 
Elia pole sana, nami pia ni victim wa hii kitu, yaani we acha tu.....
 
Hehhehehehehe kumbe ni vile vya nyamwicho tena.. Yani nakwambia hivi mtimue mara moja vinginevyo unatafuta balaa. Vikao vyote kwa taarifa yako vinafanyika sebuleni kwako. NA wenyeji wameshamfanyia sherehe sasa kafara itatoka kwako hapo hapo. Tutasikia msiba very soon.
 
yaani mungu anisamehe kwa kweli sijaoa ila nilishamuambia hata mama yangu nikipata familia yangu mimi na wife tu hata mama yangu kuja aje na kuondoka na kama tupo mbali nae sisi ndio tutakuja kukusalimia , nina uzoefu na haya mambo aisee yanacost cost sana na yanavuruga amani hapana aisee. kwanza pole sana kwa hilo naomba umpe makavu aisee please bora lawama kuliko hasara. maisha yamepanda sana kumtunza mtu mzima ni gharama sana sio kama zamani vyakula vilikuwa vya bei chee siku hizi hadi mchicha unanunua zamani unachuma hapo nyuma ya choo tu mnajilia leo unauzwa no haiwezekani.

je wakija ndugu au mama wa mkeo ambao yeye hakuwaaambia kwamba hapendi waje au anakimbelembele cha kukaribisha utafanyaje?????
 
Kuna shemeji yangu anawaweza sana watu kama hao, anarudi na tiketi jioni. anamwambia ajiandae kesho anampeleka stand
 
Mtimue usimuogope, kama ni msaada ushampa wa kutosha na isitoshe ni mzee wa kucheza mapehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom