Mama suki pawania
New Member
- Nov 17, 2019
- 2
- 9
Ni mtu ambae nimekuwa nae kwenye mahusiano, tukatokea kupendana sana lakini ghafla upepo wa kisulisuli ukatupitia akanipiga kibuti, jamani kuachwa kubaya hasa mtu unayempenda.
Nimejaribu kumuomba msamaha na kumuahid kubadilika lakin jamaa amenikazia hataki mawasiliano kabisa.
Nimejitahidi kumpotezea kama mwezi hivi lakini nashindwa maana haipiti siku bila kuonana nae maana tupo karibu sana.
Mliopitia situation kama hii ilifanyaje ukaweza ku-move on, mapenzi yanayesa hasa naempenda kakuacha.
Yule mdigo ananitesa wallah sijui nifanyaje mwenzenu.
Nimejaribu kumuomba msamaha na kumuahid kubadilika lakin jamaa amenikazia hataki mawasiliano kabisa.
Nimejitahidi kumpotezea kama mwezi hivi lakini nashindwa maana haipiti siku bila kuonana nae maana tupo karibu sana.
Mliopitia situation kama hii ilifanyaje ukaweza ku-move on, mapenzi yanayesa hasa naempenda kakuacha.
Yule mdigo ananitesa wallah sijui nifanyaje mwenzenu.