Nifanye Nini Ili Nimsahau!!

Duu pole,wakati we unendelea kumuwaza yeye yu hali gani je anakutafuta kama zamani?na je maisha yake kwa sasa anaendeleaje yaaani ameachana na mume wa mtu au bado yuko naye?mliwahi kuzungumzia hayo mashitaka ya kudanganyana?maana how comes mtu akudanganyie mtoto mfu na hai (may b she has depression over the death of her baby)hataki kuukubali ukweli hii hujitokeza sana kwa mtu wa karibu anapokufa -maana ni ngumu kwa hali ya kawaida kudanganya uongo huo ili iweje? otherwise nakushauri kama unafikiri bado ana nafasi kwaajili yako na amekubali toka moyoni kuacha njia zake mbaya anzen upya (they say its better be with devil you know than new angel you dont know)
 
Simple sana kumsahau....wacha kuomba omba ushauri wa jinsi ya kumsahau....
 
Alikuwa ni mpenzi ambaye tulidumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. Niligundua kanificha mambo mengi muda wote niliokuwa naye. Aliwahi zaa mtoto akafariki, ila mimi alinidanganya kuwa ana mtoto na anaishi na dada yake. Pia nilikuja kugundua baadae kuwa anatembea na mume wa mtu, hii ndio ilikuwa sababu kubwa ya kumuacha. Tatizo nililo nalo hivi sasa ikiwa ni miezi sita tangu tuachane, hanitoki kabisa mawazoni. Naombeni ushauri ni namna gani nitaweza kumtoa mawazoni ili niendelee na maisha yangu?


Ni rahisi sana, maamuzi.
 
Yawezekana alikuwa anakupa vitu hadimu kwako cjui kama utamsahau kirahisi hivyo
 
mr muone km sehemu ya tatizo, jichanganye na marafiki na pia unapokuwa peke yako pendelea kusoma vitabu, kuangalia movie au kusikiliza music hasa wa din itakusaidia sana
 
Back
Top Bottom