Nilikuwa na girlfriend ambaye nilimtoa usichana wake, lakini kadri nilivokaa nae niligundua kwamba maumbile yake yana maji sana, nilishindwa kumvumilia kwa kweli ingawa nilimpenda sana nikaamua kuachana nae, ni muda sasa lakini yule dada amekuwa mawazoni mwangu kiasi nashindwa kudumu na msichana mwingine nikimkumbuka, je atakuwa ameniroga? Au ni kwasababu nilimtoa usichana wake ndio maana amekaa akilini mwangu?
Pia wanaume wenzangu na ni hali ya kawaida kumkumbuka mwanamke uliyembikiri? Mpaka kujutia uamuzi wa kumuacha? Hii imekaaje? Ila nikikumbuka tu maji.
Pia wanaume wenzangu na ni hali ya kawaida kumkumbuka mwanamke uliyembikiri? Mpaka kujutia uamuzi wa kumuacha? Hii imekaaje? Ila nikikumbuka tu maji.