Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
umeona eeh! A friend of mine alivishwa pete, mara akagundua jamaa ana mtoto nje na akuwahi kumwambia, bidada akaona hakuna shida maana mtoto alizaliwa kabla hawajawa wapenzi. Heee!, baada ya muda akagundua katoto kengine tena hako kalizaliwa wakati penzi lao lipo moto moto. Dah, wanaume wabaya jamani.
aaasalalaaa! Kwa hiyo huyo dada aliendelea tena kuvumilia ili aletewe tena kengine au??