Nifanyaje nimsahau?

umenigombanisha na mke wangu, maana nimedinda wakat nasoma ghafla kaona anauliza nini kinaendelea jf/ kumpa asmoe, du, nasisi tumenzia hapo hapo, mbaya humba kimoja kumbe mtt alikuwa anapiga chabo.
 
Ikiendelea msisahau kunimention plz!
 

Nimedata nimedata nawe,,
 
Sidhani kama uko sahihi... Huyu binti anatuletea story sasa kwann aifupishe wakati inatakiwa airefushe... Ai expound .. Iwe ndefu na izidi kunoga.
Ingekuwa ni true story alitakiwa aifupishe ila ya kutunga airefushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…