Nifanyaje, niachane na huyu binti?

HorsePower

JF-Expert Member
Aug 22, 2008
3,612
2,566
*** Wakuu, nimepokea email to kwa Bwn Joachim wa Magu, Mwanza anaomba ushauri kwa kisa hiki ***

Miaka michache nyumba nilipata msichana ambaye tulipenda sana na kukubaliana kuoana. Kabla ya uyaweka mambo hadharani, binti huyu alipata nafasi ya masomo kabla ya ndoa na kwenda nchi za watu na kwa bahati mbaya masailiano baana yetu yalikatika. Nilikuja kupata taarifa kuwa alirudi na nilifanya juhudi za kumtafuta bila mafanikio.
Mwaka jana nilipata msichana mwingine na tukakubaliana kufunga ndoa.Siku mmoja, mtarajiwa wangu mpya alikuja na album na kuanza kunionyesha picha za familia yake yote kama maandalizi ya awali ya ndoa. Nishtuka kukuta picha ya yule mchumba wangu wa zamani, na nilipojaribu kumuuliza huyu ni nani aliniambia kuwa ni mdogo wao wa mwisho wa mama yake mzazi!

Siku moja nikiwa nimetoka kazini, nilimkuta huyo mamaye mdogo nyumbani kwangu (ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani) kaja kusalimia. Alijifanya hanifahamu nami pia nikampotezea ila baada ya kutoka hapo kwangu ameanza kunifuatilia kwa simu nivunje uhusiano na huyu mchumba wangu maana bado yeye ananipenda na kuendelea na huyu mwanae nitakuwa sijatenda haki kwa kutembea na mtu na mamaye mdogo, loh!

Wakuu naomba ushauri, nifanyaje, niachane na huyu binti? Maana huyu wa zamani sina upendo wa kumrudia na huyu wa sasa kuendelea naye nitakuwa nimetembea na mtu na ***** mdogo, jamii itanionaje?


HP
 
Kwani mpaka hapo mlipofikia huyo mpenzi wako wa sasa si umeshado nae?kumuacha wala haimake sense cause kama ni kuwado wote umeshawado!!
 
Awachane na wote mana asiwe yeye sababu ya kusabaratisha family hio.

Mwanaume siku zote lazima awe anatazama mbali sana haswa katika mambo ya kuweka mke ndani.

Ndo mana vitabu vya dini viliktaza kufanya sex kabla ya ndoa, Mungu asifiwe.
 
Nionavyo ni bora uwaache wote kwani kuwa na mmoja wao lazima mmoja atamind tena sana tu
 
nani mjanja zaidi kati yao 'kimchezo'?... i mean ushawamega wote, so you should know better at least where to start
 
*** Wakuu, nimepokea email to kwa Bwn Joachim wa Magu, Mwanza anaomba ushauri kwa kisa hiki ***

Miaka michache nyumba nilipata msichana ambaye tulipenda sana na kukubaliana kuoana. Kabla ya uyaweka mambo hadharani, binti huyu alipata nafasi ya masomo kabla ya ndoa na kwenda nchi za watu na kwa bahati mbaya masailiano baana yetu yalikatika. Nilikuja kupata taarifa kuwa alirudi na nilifanya juhudi za kumtafuta bila mafanikio.
Mwaka jana nilipata msichana mwingine na tukakubaliana kufunga ndoa.Siku mmoja, mtarajiwa wangu mpya alikuja na album na kuanza kunionyesha picha za familia yake yote kama maandalizi ya awali ya ndoa. Nishtuka kukuta picha ya yule mchumba wangu wa zamani, na nilipojaribu kumuuliza huyu ni nani aliniambia kuwa ni mdogo wao wa mwisho wa mama yake mzazi!

Siku moja nikiwa nimetoka kazini, nilimkuta huyo mamaye mdogo nyumbani kwangu (ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani) kaja kusalimia. Alijifanya hanifahamu nami pia nikampotezea ila baada ya kutoka hapo kwangu ameanza kunifuatilia kwa simu nivunje uhusiano na huyu mchumba wangu maana bado yeye ananipenda na kuendelea na huyu mwanae nitakuwa sijatenda haki kwa kutembea na mtu na mamaye mdogo, loh!

Wakuu naomba ushauri, nifanyaje, niachane na huyu binti? Maana huyu wa zamani sina upendo wa kumrudia na huyu wa sasa kuendelea naye nitakuwa nimetembea na mtu na ***** mdogo, jamii itanionaje?


HP
Nakushauri endelea na huyu wa sasa kwa sababu ulikutana nae ukiwa hujui kama wanamahusiano na yule wa zamani na hivyo imetokea accidentally, kwa hiyo jamii itakuchukulia poa tu, kwani mawasiliano kukosekana na wazamani ndo problem. lkn kwa sababu ishakuwa, na unampenda wa sasa. kula uroda tu mwanangu. huyo wa zamani mpotexee kiaina.
 
Awachane na wote mana asiwe yeye sababu ya kusabaratisha family hio.

Mwanaume siku zote lazima awe anatazama mbali sana haswa katika mambo ya kuweka mke ndani.

Ndo mana vitabu vya dini viliktaza kufanya sex kabla ya ndoa, Mungu asifiwe.

"Aachane na wote" hili nalo neno!
 
Kwani mpaka hapo mlipofikia huyo mpenzi wako wa sasa si umeshado nae?kumuacha wala haimake sense cause kama ni kuwado wote umeshawado!!


Ni kweli aliwado, lakini hakuwa anafahamu kuwa ni ndg na sasa baada ya kufahamu ndiyo anaomba ushauri wa nini cha kufanya.
 
*** Wakuu, nimepokea email to kwa Bwn Joachim wa Magu, Mwanza anaomba ushauri kwa kisa hiki ***

Miaka michache nyumba nilipata msichana ambaye tulipenda sana na kukubaliana kuoana. Kabla ya uyaweka mambo hadharani, binti huyu alipata nafasi ya masomo kabla ya ndoa na kwenda nchi za watu na kwa bahati mbaya masailiano baana yetu yalikatika. Nilikuja kupata taarifa kuwa alirudi na nilifanya juhudi za kumtafuta bila mafanikio.
Mwaka jana nilipata msichana mwingine na tukakubaliana kufunga ndoa.Siku mmoja, mtarajiwa wangu mpya alikuja na album na kuanza kunionyesha picha za familia yake yote kama maandalizi ya awali ya ndoa. Nishtuka kukuta picha ya yule mchumba wangu wa zamani, na nilipojaribu kumuuliza huyu ni nani aliniambia kuwa ni mdogo wao wa mwisho wa mama yake mzazi!

Siku moja nikiwa nimetoka kazini, nilimkuta huyo mamaye mdogo nyumbani kwangu (ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani) kaja kusalimia. Alijifanya hanifahamu nami pia nikampotezea ila baada ya kutoka hapo kwangu ameanza kunifuatilia kwa simu nivunje uhusiano na huyu mchumba wangu maana bado yeye ananipenda na kuendelea na huyu mwanae nitakuwa sijatenda haki kwa kutembea na mtu na mamaye mdogo, loh!

Wakuu naomba ushauri, nifanyaje, niachane na huyu binti? Maana huyu wa zamani sina upendo wa kumrudia na huyu wa sasa kuendelea naye nitakuwa nimetembea na mtu na ***** mdogo, jamii itanionaje?


HP

soo easy my brada inatakiwa amuambie huyo bidada sijui ndo mazaake mdogo kuwa yeye anamuoa mtoto wake na sio yeye kuwa mkataba ulishakuwa terminated kama ataona hatari awapige chini wote halafu atafute mchongo mwengine kurahisisha matamanio kwa siku zijazo..
 
Aaah huyo labda hana msimamo.. Angekuwa ametembea nao wakati anajua hapo ndio ingekuwa ishuu.. Aendelee na huyo mpenzi aliyenaye na cha msingi amweleze ukweli mapema ili huyo mama mdogo asije akaleta ngendembwe baadaye..!
 
Aaah huyo labda hana msimamo.. Angekuwa ametembea nao wakati anajua hapo ndio ingekuwa ishuu.. Aendelee na huyo mpenzi aliyenaye na cha msingi amweleze ukweli mapema ili huyo mama mdogo asije akaleta ngendembwe baadaye..!

Hofu ni kuwa asije mamdogo wake akaanza kugombana na mwanae kumgombania jamaa, itakuwa mbaya zaidi!
 
Hofu ni kuwa asije mamdogo wake akaanza kugombana na mwanae kumgombania jamaa, itakuwa mbaya zaidi!

Awaweke wazi wote mapeeema akiona hawasomeki apige chini.. Ila ni vema akamueleza ukweli huyo mpenzi wake aliyenaye.. Akichukulia poa na akiwa tayari kuendelea waendelee tuu! Panapo penzi la kweli vizabizabina hawana NAFASI...
 
hilo soo kaka..muhimu hapo piga moyo konde, PIGA CHINI WOTE maana ukioa mmoja wapo hapo familia nzima itakuletea zengwe...be a man, make a wise decision...piga chini fasta...
*** Wakuu, nimepokea email to kwa Bwn Joachim wa Magu, Mwanza anaomba ushauri kwa kisa hiki ***

Miaka michache nyumba nilipata msichana ambaye tulipenda sana na kukubaliana kuoana. Kabla ya uyaweka mambo hadharani, binti huyu alipata nafasi ya masomo kabla ya ndoa na kwenda nchi za watu na kwa bahati mbaya masailiano baana yetu yalikatika. Nilikuja kupata taarifa kuwa alirudi na nilifanya juhudi za kumtafuta bila mafanikio.
Mwaka jana nilipata msichana mwingine na tukakubaliana kufunga ndoa.Siku mmoja, mtarajiwa wangu mpya alikuja na album na kuanza kunionyesha picha za familia yake yote kama maandalizi ya awali ya ndoa. Nishtuka kukuta picha ya yule mchumba wangu wa zamani, na nilipojaribu kumuuliza huyu ni nani aliniambia kuwa ni mdogo wao wa mwisho wa mama yake mzazi!

Siku moja nikiwa nimetoka kazini, nilimkuta huyo mamaye mdogo nyumbani kwangu (ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani) kaja kusalimia. Alijifanya hanifahamu nami pia nikampotezea ila baada ya kutoka hapo kwangu ameanza kunifuatilia kwa simu nivunje uhusiano na huyu mchumba wangu maana bado yeye ananipenda na kuendelea na huyu mwanae nitakuwa sijatenda haki kwa kutembea na mtu na mamaye mdogo, loh!

Wakuu naomba ushauri, nifanyaje, niachane na huyu binti? Maana huyu wa zamani sina upendo wa kumrudia na huyu wa sasa kuendelea naye nitakuwa nimetembea na mtu na ***** mdogo, jamii itanionaje?


HP
 
na kama usingeona hiyo albam ungefanyaje?chapa na ukitaka kuoa oa kabisa huyo anakwambia anakupenda mbona aliporudi hakukutafuta kama anakupenda.au umeshawachafua unatafuta kisingizio cha kuwakacha.chapa mzigo bhana we vipi halah
 
haswaa, kama bado hamjaibanjua ile amri na huyo mwanae sawa ila kama tayar wala hutabadili chochote kwa kumuacha huyo mchumba ako, zaid fuata moyo wako, ushasema humpend tena huyo x na unampenda huyo mwanae kwa hyo sion tatzo hapo kwa upande wangu
Kwani mpaka hapo mlipofikia huyo mpenzi wako wa sasa si umeshado nae?kumuacha wala haimake sense cause kama ni kuwado wote umeshawado!!
 
*** Wakuu, nimepokea email to kwa Bwn Joachim wa Magu, Mwanza anaomba ushauri kwa kisa hiki ***

Miaka michache nyumba nilipata msichana ambaye tulipenda sana na kukubaliana kuoana. Kabla ya uyaweka mambo hadharani, binti huyu alipata nafasi ya masomo kabla ya ndoa na kwenda nchi za watu na kwa bahati mbaya masailiano baana yetu yalikatika. Nilikuja kupata taarifa kuwa alirudi na nilifanya juhudi za kumtafuta bila mafanikio.
Mwaka jana nilipata msichana mwingine na tukakubaliana kufunga ndoa.Siku mmoja, mtarajiwa wangu mpya alikuja na album na kuanza kunionyesha picha za familia yake yote kama maandalizi ya awali ya ndoa. Nishtuka kukuta picha ya yule mchumba wangu wa zamani, na nilipojaribu kumuuliza huyu ni nani aliniambia kuwa ni mdogo wao wa mwisho wa mama yake mzazi!

Siku moja nikiwa nimetoka kazini, nilimkuta huyo mamaye mdogo nyumbani kwangu (ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani) kaja kusalimia. Alijifanya hanifahamu nami pia nikampotezea ila baada ya kutoka hapo kwangu ameanza kunifuatilia kwa simu nivunje uhusiano na huyu mchumba wangu maana bado yeye ananipenda na kuendelea na huyu mwanae nitakuwa sijatenda haki kwa kutembea na mtu na mamaye mdogo, loh!

Wakuu naomba ushauri, nifanyaje, niachane na huyu binti? Maana huyu wa zamani sina upendo wa kumrudia na huyu wa sasa kuendelea naye nitakuwa nimetembea na mtu na ***** mdogo, jamii itanionaje?


HP

Endelea na mipango ya Harusi yenu, achana kabisa na huyo mama yake mdogo, yeye alikuwa wa zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom