Nifahamishe kuhusu university of Dodoma

Nifahamishe kuhusu university of Dodoma

Maji,
kama hauna mkopo
Kama una nasal allergy ni tatizo mana hata mimi linalishinda
mengine yapo kila chuo duniani, na hata ulipotokaga

tunaenjoy sana accomodation, na hata kama hauna mkopo, utaishi vizuri ila uwe mtu wa watu🙂🙂😀😀

But we do live happily coz tumezoea,
 
Back
Top Bottom