Nifaamisheni kupika mseto

Nifaamisheni kupika mseto

Nimevuruga vibaya sana (Mchele na choroko) .
Chemsha choroko zako HAKIKISHA zinaivabvizuri sababu Huwa ni ngumu kuiva haraka baada ya kuiva zitoke kwenye jiko kisha chukua sufuria ingine weka maji ya moto jikoni au chemsha weka Michele ulioandaa humo kisha mwaga choroko zako ndani kisha changanya changanya mpaka mchele na choroko vichanganyike weka chumvi na mafuta HAKIKISHA kama unataka utamu basi uwiano wa mchele uwe sawa na choroko au choroko ziwe CHACHE kuliko mucheleeeee.



Hakuna Shule hapo zaidi unaweza nogesha na mamboziiii


Kaoe msukuma akufanyi vitu hivyo mchele choroko, mchele njugumawe , mchele na uwele, mchele garage, mchele dagaa.


Na mchivha mwiba
 
Chemsha choroko zako HAKIKISHA zinaivabvizuri sababu Huwa ni ngumu kuiva haraka baada ya kuiva zitoke kwenye jiko kisha chukua sufuria ingine weka maji ya moto jikoni au chemsha weka Michele ulioandaa humo kisha mwaga choroko zako ndani kisha changanya changanya mpaka mchele na choroko vichanganyike weka chumvi na mafuta HAKIKISHA kama unataka utamu basi uwiano wa mchele uwe sawa na choroko au choroko ziwe CHACHE kuliko mucheleeeee.



Hakuna Shule hapo zaidi unaweza nogesha na mamboziiii


Kaoe msukuma akufanyi vitu hivyo mchele choroko, mchele njugumawe , mchele na uwele, mchele garage, mchele dagaa.


Na mchivha mwiba

Choroko ni ngumu kuiva tangu lini?

Ila washauri wa JF sometimes 🤦‍♀️
 
Choroko ni ngumu kuiva tangu lini?

Ila washauri wa JF sometimes 🤦‍♀️
Umepika kilo ngapi mkuu au umepika nusu ya kula watu wawili? Na umtetumia muda gani kuivisha?, nusu kilo tu si chini ya nusu saa
 
Umepika kilo ngapi mkuu au umepika nusu ya kula watu wawili? Na umtetumia muda gani kuivisha?, nusu kilo tu si chini ya nusu saa
Choroko na maharage kipi chepesi kuiva.Katika jamii ya mikunde NADHANI hiyo ipo miongoni mwa zinazoiva mapema baada ya njegere mbichi.
 
Umepika kilo ngapi mkuu au umepika nusu ya kula watu wawili? Na umtetumia muda gani kuivisha?, nusu kilo tu si chini ya nusu saa

Mkuu kivyovyote vile choroko huwa zinawahi kuiva...labda zitachukua muda kama unazichemsha kwa mshumaa

Hata hivyo ninavyojua choroko zinazowekwa kwenye wali hazitakiwi kuiva kiivyo ukichemsha
 
Mkuu kivyovyote vile choroko huwa zinawahi kuiva...labda zitachukua muda kama unazichemsha kwa mshumaa

Hata hivyo ninavyojua choroko zinazowekwa kwenye wali hazitakiwi kuiva kiivyo ukichemsha
Nafukiri darasa langu limeisha na wewe endelea na lako hatushindani
 
Asante ,kwa maelezi ila bado kunahitajika msaaada wa mwanzo.
Nachemsha choloko
Nachemsha Mchele
Kidogo lugha inajipambanua na kuleta mchanganyiko mwingi wa maana na kuniwacha na sifuri.

Hapa kwenye kuchanganya
Je kila kimoja baada ya kuchemka kivyake >>> Navichuja maji au nachanganya vyote vikiwa ndani ya maji ,, yaani nafikili hapo ndipo nilipokosea njia , ukisikia tatizo linaitwa tatizo la njia panda.
 
Asante ,kwa maelezi ila bado kunahitajika msaaada wa mwanzo.
Nachemsha choloko
Nachemsha Mchele
Kidogo lugha inajipambanua na kuleta mchanganyiko mwingi wa maana na kuniwacha na sifuri.

Hapa kwenye kuchanganya
Je kila kimoja baada ya kuchemka kivyake >>> Navichuja maji au nachanganya vyote vikiwa ndani ya maji ,, yaani nafikili hapo ndipo nilipokosea njia , ukisikia tatizo linaitwa tatizo la njia panda.
No. Mchele hauchemshwi kivyake kama ulivyochemsha chrorko kwa sababu kitakqchotokea baada ya wewe kufanya hivyo ni sawa na kuchanganya wali maharage.


Hivyo chemsha choroko zikiiva ziwekee kando, unaweza tumia maji yake au unaweza zitolea maji.

Zipo njia nyingi hapa chini.


Kwenye kuchanganya ni kama unqvyopika mchele mfano


Kuna wanaopenda kaanga mchele kisha kumwaga maji ya moto au baridi na Kuna waon chemsha maji na kumwaga ndani ya maji mchele


Hii option ya mwisho ndo hutumika sana


Chemsha maji ya kutosha kilo zako utakadilia mwenyewe.

Maji yakishachemka mwaga mchele, angalizo weka maji kiasi kizuri kulingana na WINGI wa mchele na choroko hapa utaanza kumwaga mchele kisha zitafata choroko zilizoiva.

Kisha angalia tena kama kiwango cha maji na mchanganyiko wako uko katika uwiano wa 3:4, yaani majii yawe juu kidogo na mchanganyiko uwe chini.



Baada ya kujiridhisha weka mafuta na chumvi.


Kiwango cha mafuta inategemea na matoleo utakayotaka.



Kama ni boko weka mafuta kidogo zidisha maji kidogo

Kama sasambua maji kidogo mafuta mengipo.
 
Inawezekana naelekea kuelewa.

Chorowko
Mchele

Nachemsha choroko mpaka zimeiva ,nazimwaga maji naziweka pembeni.
Hapa ndio kindende
Nachemsha maji mpaka yanachemka ,kisha nachukuwa mchele unautia kwenye hayo maji moto ?

Umeniwacha kwenye mataa ulipoandika ...Maji yakishachemka mwaga mchele... hapo ndio nimefanya mawazo mgando ka uliwahi kuyasikia,
 
Inawezekana naelekea kuelewa.

Chorowko
Mchele

Nachemsha choroko mpaka zimeiva ,nazimwaga maji naziweka pembeni.
Hapa ndio kindende
Nachemsha maji mpaka yanachemka ,kisha nachukuwa mchele unautia kwenye hayo maji moto ?

Umeniwacha kwenye mataa ulipoandika ...Maji yakishachemka mwaga mchele... hapo ndio nimefanya mawazo mgando ka uliwahi kuyasikia,
WE NAE KICHWA KIGUMU, NIMEKUWEKE OPTION NYINGI HAKUNA FOMULA.


IVISHA CHOROKO KIKAWAIDA CHOROko zinapoiva Huwa na maji kidogo sio lazima uyamwage na sio sheria unaweza yaacha. Lakini ni ukija kwenye kuchanganya TAMBUA utatakiwa kuongeza maji kidogo sababu choro zitakuwa na maji.



Wengine wakishaivisha choroko hawachemshi maji wanakwaganmchele humo humo kwenye choroko na kuongeza maji ya moto.



Vitakavyofata ni mafuta na chumvi.


Huenda hujui hata namna mchele unavyopikwa sababu maelezo ni rahisi.

Labda tusemebukiwa unapika mchele kabla ya kuweka chumvi na mafuta manake utakuwa umechanganya mchele na maji ya moto tu Sasa katka hatua hiii weka choroko zako zilizoiva humo kwenye mchele na maji moto kisha koroga na kutia chumvi na mafuta.

Ukiweza hii hatua next time si lazima utenganishe choroko pembeni unaweza tupia mchele kwenye choroko zilizoko jikoni na zilizoiva.

Nina typo nyingi kwenye maelezo yangu sababu kazi nayo fanya unataka niangalie mbele watakusaidia watu wengine waliotulia.
 
Nimeweza asante sana ,japo mwanzo niliona ni kama bondo ,ila baada ya kupoa.

Tatizo yaliyonikuta, mchuzhi ,yaani baada ya kumaliza naona nipo mimi na sahani ya mseto tu .
 
Chemsha choroko zako HAKIKISHA zinaivabvizuri sababu Huwa ni ngumu kuiva haraka baada ya kuiva zitoke kwenye jiko kisha chukua sufuria ingine weka maji ya moto jikoni au chemsha weka Michele ulioandaa humo kisha mwaga choroko zako ndani kisha changanya changanya mpaka mchele na choroko vichanganyike weka chumvi na mafuta HAKIKISHA kama unataka utamu basi uwiano wa mchele uwe sawa na choroko au choroko ziwe CHACHE kuliko mucheleeeee.



Hakuna Shule hapo zaidi unaweza nogesha na mamboziiii


Kaoe msukuma akufanyi vitu hivyo mchele choroko, mchele njugumawe , mchele na uwele, mchele garage, mchele dagaa.


Na mchivha mwiba
Choroko hazina ugumu kwenye kuiva.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom