The Kop
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 209
- 92
wasalaam wana mmu....!
nimekuwa nikikumbana na wimbi la kila msichana ninayetaka kuanzisha naye uhusiano kunambia 'nina mtu'...na hata ninapo muonyesha kuwa niko "for real" bado "hujishebedua" tu, cha ajabu ni kwamba baada ya muda mrefu kupita, yaani nimepotezea wanaanza oh "mbona siku hizi kimya..." hii imenifanya nijiulize kama sina njia nzuri za ku-approach au hadi niwe na "tembo master card...." ?
nimekuwa nikikumbana na wimbi la kila msichana ninayetaka kuanzisha naye uhusiano kunambia 'nina mtu'...na hata ninapo muonyesha kuwa niko "for real" bado "hujishebedua" tu, cha ajabu ni kwamba baada ya muda mrefu kupita, yaani nimepotezea wanaanza oh "mbona siku hizi kimya..." hii imenifanya nijiulize kama sina njia nzuri za ku-approach au hadi niwe na "tembo master card...." ?