Na tayari wameshaisoma nambaMlivaa magwanda ya kijani wenyewe, mkacheza na ngoma , mkaimba hapa kazi tu sasa endeleeni kusoma namba
Mkuu si walipewa zaidi ya billion 2 kuwalipa hao vijana?Hela hawana watawalipa nini
Hela kapilimba kapewa awalipe hao vijana but anataka kuwazulumu arudishe chenji kama lubuva.So sad.
Tumia akili wewe,, usidhani kila aliyeko serikalini ni ccm,, uliwaona wapi wakiimba?? Shame on youMlivaa magwanda ya kijani wenyewe, mkacheza na ngoma , mkaimba hapa kazi tu sasa endeleeni kusoma namba
Ndio haohao. Maana waliona wamepata kazi kwenye serikali ya ccm. Wasingeweza kupigia debe chama kingine ili wakose ulaji. Waambie waendelee kuimba au wawaambie wawakilishi wao wawasemeeTumia akili wewe,, usidhani kila aliyeko serikalini ni ccm,, uliwaona wapi wakiimba?? Shame on you
Mkuu uliona zikitoka au ulisikia tu kuwa tumewapa........kumbuka tulisikia kuwa imenunuliwa CT SCAN mpya ila mwisho wa siku tukasikia imetoka UDOM.Mkuu si walipewa zaidi ya billion 2 kuwalipa hao vijana?
Wawaulize wazee wastaafu wa east africa communityPoleni vijana but msipokomaa mtadhulumiwa kama vijana wa NEC
Wacha waisome namba maana wengi wao ni walio ipigia ccm kura
Wacha waisome namba hasa hao kina mama wenye kiherehere cha kuvaa kijaniTumia akili wewe,, usidhani kila aliyeko serikalini ni ccm,, uliwaona wapi wakiimba?? Shame on you