Kwahiyo baada ya miaka 13, ndo uone kuwa ni lazima uwe na kipande?
Na mnaona no busara kuteketeza hivyo vipande na namba kabisa?
Mwaka fulani, mlitumia pesa za umma kutengeneza mitaa, address na postcode, mlipokuwa mnaenda kutafuta watu wa kupiga kura SM, mligonga nyumba kwa nyumba, nini mnashidwa kupeleka hivyo vipande kwa wale WAJUMBE wavisambaze?