Kwa hiyo NIDA wanaharibu vitambulisho vilivyopo ambavyo havijschukuliwa, halafu watawatengenezea vingine ama??Kwa bajeti ipi?? Au ikifungwa ukienda inafunguliwa??
Ukiritimba tu wa hiyo kitengo kwanini wasingetoa Vitambulisho Moja kwa Moja wakaanza kutoa namba na saizi wasumbue wananchi,
Vitambulisho vya kura wanafyatua muda huo huo kwa sababu vinawaingiza madarakani Nida aaaah!
Kama ulikua unatuma zile meseji za "ile hela tuma kwenye namba hii" au unatuma meseji zinazofanana kwa watu wengi ndani ya muda mfupi , laini na namba yako ya Nida inafungwa au kimoja wapo.
Wakufungie tu maana hujui umuhimu wa kitambulisho cha uraia. Na kama uko Kigoma utapata taabu sana kwa sababu Kigoma ndo mkoa pekee ukienda unakutana na ukaguzi wa Immigration hata mara tatu.
Wakufungie tu maana hujui umuhimu wa kitambulisho cha uraia. Na kama uko Kigoma utapata taabu sana kwa sababu Kigoma ndo mkoa pekee ukienda unakutana na ukaguzi wa Immigration hata mara tatu.
Alafu hana kitambulisho cha NIDA anaishi Kigoma na kusema Nne hajui anasema ine, kusema mtu hajui anasema Mutu , na Immigration wanafanya doria muda wote
Wakufungie tu maana hujui umuhimu wa kitambulisho cha uraia. Na kama uko Kigoma utapata taabu sana kwa sababu Kigoma ndo mkoa pekee ukienda unakutana na ukaguzi wa Immigration hata mara tatu.
Kwa nivyo muelewa mtoa Mada ni kwamba alijiandisha Temeke na akapata namba bila kitambulisho then akaenda kigoma sasa Vitambulisho vimetoka yeye yupo mbali na wanamfungia Nida ilikuaje wakashindwa kutoa kitambulisho Moja kwa Moja now wasumbue wananchi mbona vya kura wanafyatua hapo hapo kama Sio uhujumu tu ?
Kingine
Kwakwambia hajui umuhimu wa NIDA wapi?
Acha kukurupuka dume zima unajiita mama Samia hovyo na mandevu Yako yaliyotapakaa sehemu zote nyeti za mwili,