Fikra Angavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 301
- 105
Mtaa una watu zaidi ya 2500.... na wamekuja kuanza jana... ambapo kila siku wanawafanyia 100... tukumbuke wanafanya mchakato kwa siku sita.... lkn cha ajabu zaidi... hio jana watu mia hawajamalizwa.... tunaambiwa mashine ni mbovu kwaio zimeenda tafutwa nyingne.... hii Tanzania hii... tusipo fanya mabadiliko UCHAGUZI HUU.... TZ HAITABADILIKA MAISHA