Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha
"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha
"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:
Mh............. mbona mnatuchanganya>?? wengine wanasema ni kwa afya hakuna madhara na ni salama kwa kuwa inakukinga na maradhi...............mtaalamu weye wasema ina madhara lol....... bora uwe na permanent source kama Bio nyakomba MJ1 hapa.
Dawa yake mtafute mama Big tu, iyo yote inaisha .......... au wewe jinsia nyingine
maana hapa ianbidi tuwekewe na jinsi za watu ............... ila mama Big anachukua
wateja woteeep:
hahahaha,i am a man mkuu
Mh............. mbona mnatuchanganya>?? wengine wanasema ni kwa afya hakuna madhara na ni salama kwa kuwa inakukinga na maradhi...............mtaalamu weye wasema ina madhara lol....... bora uwe na permanent source kama Bio nyakomba MJ1 hapa.
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha
"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:
Madhara yapo ndugu tena makubwa. Epuka upweke, picha za ngono, kama una mpenzi jaribu kuwa nae karibu na kufanya nae mapenzi mara kwa mara. Hii itaondoa hisia za kujichua. La sivyo jiandae kwa UTI, kupungua nguvu ya kiume n.k
acha uwoga
sa utaish ivo mpk lin?
ebu kuwa MAN tafuta demu wako bwna
sa ukiendelea ivo utzaaje?mkono haubeb mimba kumbuka...we mbegu zote unamwagia kiganjan kiganja hakibeb mimba
--kuwa makin+muombe mungu akusaidie kumpata aliyetulia then ufanye kweli na ili tatizo lako ltaisha bt kwa mwendo uo wa MPZ MKONO autaweza kuacha...
POLE.
MUOMBE MUNGU AKUPE UJASIRI NA AKUONYESHE EVA WAKO+MPIME B4 KU DO =KUACHA NYETO
Madhara yapo ndugu tena makubwa. Epuka upweke, picha za ngono, kama una mpenzi jaribu kuwa nae karibu na kufanya nae mapenzi mara kwa mara. Hii itaondoa hisia za kujichua. La sivyo jiandae kwa UTI, kupungua nguvu ya kiume n.k