Twande
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 543
- 174
kuna vitu usipoweza kujisimamia ndo unaenda mpaka ktk maisha yako! Kwanza ulipaswa uwe umeshamdai kujua kulikoni kimya kosa la kwanza. . Mana mi mwenyewe sidai ovyo lakini muda mrefu ukipita lazima nijiulize na kuuliza! Pili kosa lingine ni ilo la kujiuliza kumpa i mean how? Why? Jamani sipendi kabisa mtu ambae hana uaminifu na kusimamia ahadi! Yani ya mwanzo haina maelezo then unaomba nyingine? Sikupi ili ujifunze nidhamu nyie mnaosema ampe kiasi tabia zingine zinaongeza uharibifu kwa tabia za watu uyo anahitaji a lesson. . Kama alikosa alipaswa awe anatoa updates then hapo ningeweza kumsaidia kwa uangalifu sasa!