Niaje Swiss Pub Tabata ?

Niaje Swiss Pub Tabata ?

Martinez

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
525
Reaction score
161
Nimerudi zangu toka SA kibiashara.
Nikasema nije kupata good tym Swiss Pub Tabata
...nakuta haipo !!! Pana magofu tu.

What happened ?
 
Nimerudi zangu toka SA kibiashara.
Nikasema nije kupata good tym Swiss Pub Tabata
...nakuta haipo !!! Pana magofu tu.

What happened ?
Kanisa la kristu mfalme hapo pembeni wamenunua hilo eneo na kuvunjilia mbali hicho kiota cha maovu.., palikuwa pana-bang sana.., wengi tumepamic..., nenda Club 84 external sometimes...

Shikamoo RC
 
cjafahamu vzr kama kuna club au jisogeze italian japo pamepooooa siku hizi
 
cjafahamu vzr kama kuna club au jisogeze italian japo pamepooooa siku hizi

Nilikuwa nikipita zamani hapo palikuwa ni hot ile mbaya..., ila naona now competition kutoka camp imewazidi nguvu.., anaeijua hiyo camp atuambie.., kuna club humo..?
 
Uko maeneo gan da don now

Niko maeneo ya Tabata..., am working late kwenye ka-office kangu cha kizushi.., thanx JF for keeping me company..!!

By the way mkesha wa eid 2mor (meaning today) wapi kuna show ya kuvutia..?
 
Oooh usiseme cha kizushi me niko mtwara bt kesho niko hapo moojiniii
 
Oooh usiseme cha kizushi me niko mtwara bt kesho niko hapo moojiniii
Aisee..., nasikia ile gesi yenu imeshafikishwa hadi mikocheni kule kwa Mwinyi na Warioba kwa ajili ya kutumika majumbani.., hivi hata mnamajiko ya gesi huko mtwara..?!,Hhahahahah...!
 
Kaka me mpitaji tu wazawa wakiona hili swali lako wanaweza kutoa majibu sahihi
 
Kaka me mpitaji tu wazawa wakiona hili swali lako wanaweza kutoa majibu sahihi
Unakataa nini bwana..., we juzi tu umetoka nchumbiji.., any way karibu jiji la maraha lenye gesi ya kumwaga.., japo hatuna visima..! hahahahah..!!!
 
Back
Top Bottom