Ni zipi faida za bangi?

Ni zipi faida za bangi?

Salaam wakuu

Eti wakuu niliskia eti bangi inafukuza majini yaani majini yakiskia harufu ya bangi yanakimbia hivi ni kweli?

Na bangi inasaidia nini mwilini? inauwezo wa kutibu magonjwa? Ni magonjwa gani hayo yanayotibiwa kwa kutumia bangi?
Yes kuna mchawi mmoja alikuwa anatabia ya kuniwangia ghetto nikawa nacheka tu sasa nikaanza kulipuka shada kila usiku mbona na kumjua nilimjua maana alinionyesha chuki hadharani mtaani nikasema kweli nimempatia dawa.
 
Bangi ni dawa nzuri c mpaka uvute...mm nilisumbuliwa na sikio ule mchuzi wako uliniponya mpaka leo sikio lilisikia dawa
 
hata kuona majini inaweza ikawa symptoms za bangi..., kwahio kama unaona majini ukiongeza na bangi sijui mchanyato utakaoupata...

Any Bangi inaweza kutumika kama medicine sio kwa kuvuta lakini (sababu kwa kuvuta madhara huenda yakawa kuliko faida) Anyway Dawa yoyote sio Chakula (due to side effects)
 
samahan

mkuu hvi ile simulizi yako ya majini ukiimaliziaga? kama ni ivo naomba link ya uzi bas ilinipita
Kaka sikuimalizia, sasa hv nipo busy sana na nilipo mtandao ni wakusua sua sana...nipo chaka napambana
 
Bangi- suluhisho kwa wanaokosa usingizi...
Bangi inanifanya nijihisi na akili kuliko wote duniani 🙂
 
Back
Top Bottom