YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,927
Kama unadhani ni rahisi hivyo kupata wafuasi na kupiga pesa uwanja uko wazi kafungue kanisa kama hujafunga ndani ya mwezi.Sababu mtu kama Mimi nikaja nisipopata miujiza ninaotaka kama ulitangaza kunivutia wakati huna uwezo wa kufanya miujiza nisipopatapata hunioni na nitakutangaza vibaya kuwa tapeli.Watanzania wabishi hadi uone mtu wamemkubali na wanajaa nyomi ujue ana kitu.Kama unadhani ni kitu rahisi jaribu.Na kula watoto wazuri wazuri. Biashara inalipa sana