Ni zaidi ya picha

Duh!!Hii si ni hatari sana kwa usalama barabarani!!
 
Kama sio hizo nyumba ningejua hayo magari yanakatiza Mikumi National Park.
 
duh.., hatari sana. vingunguti kwa mnyamani hiyooo.
 
Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...
 
Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...

ngoja nikusaidie hapo ni mtaani kwangu na hiyo ofisi unayoisema ni ya chama cha mapinduzi (ccm).
 
yo maana ya kuitwa mjasiriamali LAZIMA uwe na roho ya jiwe kuchungia mifugo mjini
 
Dar kuna vibaka wengi lakini hawathubutu kuiba hawa mbuzi wa makaburini, kwa hiyo utajua hawa si mbuzi wa kawaida.
 
Dar kuna vibaka wengi lakini hawathubutu kuiba hawa mbuzi wa makaburini, kwa hiyo utajua hawa si mbuzi wa kawaida.

Haswaa na majina yao nayajua, wa
1. Hadija
2. Shomari
3. Malaria Sugu
4. Rejao
5. Bujibuji
6. Nimemsahau kidogo
Kama hujipendi wagonge sasa uone kazi
 
Mbuzi kama hawa wanaoishi town halafu wanapishana na magari huwa wanakula mpaka BIG GEE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…